TUME ya Taifa ya uchaguzi NEC imewaomba viongozi wa dini zote kutumia majukwaa yao kuwaelimisha wapiga kura bila kuonyesha hisia za kuegemea upande wowote wa…
Continue Reading....Category: Habari za Nyumbani
NMB Yasaidia Madawati Shule ya Msingi Kambi ya Raha
Meneja wa benki ya NMB tawi la Hai Medadi Malisa kulia akimkabidhi mwalimu mkuu wa shule hiyo Teodora Mlayi huku akishuhudiwa na mgeni rasmi Zuhura…
Continue Reading....NCCR-Mageuzi; Hatujajitoa UKAWA, Wataja Majimbo Yao 19
Na Joachim Mushi, Dar es Salaam CHAMA cha NCCR-Mageuzi kimesema taarifa zinazozagaa kuwa chama hicho kimejitoa ndani ya Umoja wa Katiba ya Wananchi (UKAWA) hazina…
Continue Reading....Wasanii Makada wa CCM Kuzunguka Kuipigania Ishinde Uchaguzi
Na Joachim Mushi, Dar es Salaam WASANII ambao ni makada wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) wameandaa Tamasha kubwa kuzunguka nchi nzima kwa pamoja na kukinadi…
Continue Reading....Kipindupindu Chaendelea Dar, Wagonjwa Wafikia 43
Muuguzi Mkuu wa Manispaa ya Kinondoni, Nusura Kessy (kushoto), akiwaelekeza wauguzi wa saidizi wake namna ya kuchanganya dawa maalumu ya kuondoa vijiji vinavyoweza kuambukiza ugonjwa…
Continue Reading....Ireland Yatoa Scholarship kwa Watanzania 14…!
UBALOZI wa Ireland nchini Tanzania, umewapatia scholarship Watanzania 14 ili kusoma kozi mbalimbali za shahada ya uzamili (masters) na huku wanne kati yao wakienda kusoma vyuo vya…
Continue Reading....