WAZIRI Mkuu Kassim Majaliwa amewaasa raia wanaokimbia nchi zao na kupata hifadhi Tanzania kutobeba silaha wanapoingia nchini kuja kuishi kwenye kambi za wakimbizi. Ametoa onyo…
Continue Reading....Category: Habari za Nyumbani
Mawakala Tigo Pesa Zanzibar Wapewa Elimu
Mkurugenzi wa Tigo Pesa Tito Magesho akizungumza na mawakala wa Tigo Pesa walioko Zanzibar wakati wa mkutano wa kuwakutanisha mawakala wa Zanzibar jinsi ya kuendesha…
Continue Reading....Tanroads: Tunaijenga Barabara ya Kamanga Ferry kwa Lami
Na Raymond Mushumbusi MAELEZO WAKALA wa Barabara nchini Tanzania (TANROADS) imesema inaendelea na ujenzi wa Barabara itokayo Kamanga Ferry kuelekea Sengerema kwa kiwango cha lami…
Continue Reading....Waraghabishi Wakoleza Kasi ya Mabadiliko Wilayani Kishapu
Watendaji wa Kituo cha Maendeleo cha Jamii ya Uchunga wilayani Kishapu wakiwa katika picha ya pamoja na wanafunzi mbele ya jengo la kituo hicho likiwa…
Continue Reading....Wanakijiji Enguserosambu Wafurahia Msitu Kurejeshwa Mikononi mwao
Mraghbishi Noorkiyengop Mbaima toka kijiji cha Enguserosambu akisimama mbele ya mifugo iliyokutwa msituni katika eneo lililoruhusiwa la msitu wa jamii wa Enguserosambu Ilikuwa ni siku ya shangwe na…
Continue Reading....Ma-RC, DC Watakiwa Kudhibiti Migogoro ya Ardhi
WAZIRI Mkuu Kassim Majaliwa amewaagiza Wakuu wa Mikoa, Wakuu wa Wilaya na Wakurugenzi wa Halmashauri zote nchini kuhakikisha kuwa wanaongeza udhibiti na usimamizi wa migogoro…
Continue Reading....