Barabara zinazoingia katika Daraja la Kigamboni. Mkurugezi Mkuu wa NSSF, Dk. Ramadhani Dau akimkaribisha Waziri wa Ujenzi, Mawasiliano na Uchukuzi, Prof. Makame Mbarawa alipofanya ziara…
Continue Reading....Category: Habari za Nyumbani
Serikali Yataka Mawasiliano ya Barua Pepe Serikalini Yatumie ‘GMS’
Na Aron Msigwa –MAELEZO, Dar es Salaam SERIKALI imepiga marufuku matumizi ya Barua pepe za kawaida kwa watumishi wa umma wanaotuma au kupokea taarifa za…
Continue Reading....Kampuni ya TTCL Yawazawadia Vyakula Vituo vya Wasiojiweza Dar
Meneja Uhusiano wa Kampuni ya Simu Tanzania (TTCL), Nicodemus Thomas (kushoto) kwa niaba ya Ofisa Mtendaji Mkuu wa TTCL, Dk. Kamugisha Kazaura akikabidhi sehemu ya…
Continue Reading....Waziri wa Afya Ummy Mwalimu Ziarani Bohari ya Dawa
Waziri wa Afya, maendeleo ya Jamii,Jinsia,Wazee na Watoto, Ummy Mwalimu akitembelea moja ya ghala la kuhifadhia dawa iliyopo makao makuu ya MSD,kushoto ni Mkurugenzi Mkuu…
Continue Reading....TCRA Yazilima Faini Tigo, Airtel, Halotel na Zantel
MAMLAKA ya Mawasilaino nchini Tanzania (TCRA) imezipiga faini pamoja na kutoa onyo kali kwa makampuni ya simu za mikononi za: Benson Informatics Limited (inayojulikana kama…
Continue Reading....Kesi ya ‘Akinamasamaki wa TRA’ Kuunguruma Januari 13
Na Nyakongo Manyama-Maelezo KESI inayowakabili wafanyakazi wa Mamlaka ya mapato Tanzania (TRA) inatarajiwa kusikilizwa tena January 13, 2016. Akizungumza katika Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu…
Continue Reading....