Ofisa Ubalozi wa Ireland nchini, Bi. Carlo, akizungumza na Edwin Luguku na John Method kutoka Shule ya Sekondari Mzumbe, Morogoro ambao waliibuka washindi wa jumla katika…
Continue Reading....Category: Habari za Nyumbani
Waziri Majaliwa Avutiwa na Hali ya Chakula Ruvuma
WAZIRI Mkuu Kassim Majaliwa amefurahishwa na hali ya chakula mkoani Ruvuma, ikiwa kati ya mikoa inayotegemewa kwa uzalishaji wa chakula kwa wingi nchini. Akizungumza na…
Continue Reading....Basi la Luwinzo Lagonga Lori Nyuma, Laua na Kujeruhi
Juu ni baadhi ya picha za ajali hiyo BASI la abiria la kampuni ya Luwinzo lifanyalo safari zake za Dar es Salaam na Njombe lemepata…
Continue Reading....Waziri Mbarawa Awapa Siku Tatu Viongozi Ukarabati Reli ya Kati
WAZIRI wa Ujenzi, Uchukuzi na Mawasiliano Prof. Makame Mbarawa amewataka watendaji wa Shirika la Reli nchini (TRL) na Kampuni Hodhi ya Mali za Reli (RAHCO)…
Continue Reading....TTCL Yawafariji Yatima Siku Kuu ya Mwaka Mpya
Na Mwandishi Wetu KAMPUNI ya Simu nchini Tanzania (TTCL) imeamua kusherehekea Siku Kuu ya Mwaka Mpya 2016 pamoja vituo vya watu wenye mahitaji maalum, wanaoishi…
Continue Reading....Rais Magufuli Awaapisha Makatibu Wakuu, Waziri Mkuu Apongeza
WAZIRI Mkuu Kassim Majaliwa amewapongeza Makatibu Wakuu na Naibu Katibu Wakuu, mara baada ya kuapishwa Ikulu jijini Dar es Salaam. Ametoa pongezi hizo wakati Makatibu…
Continue Reading....