Skip to content
Habari  | Michezo | Mahusiano | Blog Tanzania
  • Habari
    • Habari za Kimataifa
    • Habari za Uchunguzi
    • Habari za biashara
    • Habari za Vijijini
  • Matukio Katika Picha
  • Burudani
  • Uchambuzi
  • Michezo
    • Matokeo Ya Ligi Kuu Ya Uingereza (English Premier League)
  • Home
  • Habari za Nyumbani
  • Page 214

Category: Habari za Nyumbani

Kunanileo.com kutoa zawadi ya Samsung Galaxy Tab

Posted on: January 9, 2016 - admin
Kunanileo.com kutoa zawadi ya Samsung Galaxy Tab

Kampuni ya kunanileo.com inatoa zawadi kwa mmoja ya wasomaji wake watakaotuma video kwenye kupitia whatsapp kwenda namba 0714 227 955. Video wanazopokea ni za kiswahili,…

Continue Reading....

Serikali Haitawavumilia Wazembe: Waziri Prof. Mbarawa

Posted on: January 9, 2016January 9, 2016 - jomushi
Post Tags: TANROADS
Serikali Haitawavumilia Wazembe: Waziri Prof. Mbarawa

  WAZIRI wa Ujenzi, Uchukuzi na Mawasiliano Mhe. Prof. Makame Mbarawa amemtaka mkandarasi anayejenga barabara ya Mwenge – Moroco KM 4, kuhakikisha inajengwa kwa ubora…

Continue Reading....

Tigo Yawakutanisha Wamiliki Mitandao ya Jamii

Posted on: January 9, 2016 - jomushi
Post Tags: Mitandao ya Jamii
Tigo Yawakutanisha Wamiliki Mitandao ya Jamii

Continue Reading....

Waziri wa Mambo ya Ndani ya Nchi Afanya Ziara Jeshi la Zimamoto

Posted on: January 8, 2016 - jomushi
Post Tags: Jeshi la Zimamoto na Uokoaji
Waziri wa Mambo ya Ndani ya Nchi Afanya Ziara Jeshi la Zimamoto

Waziri wa Mambo ya Ndani ya Nchi Charles Kitwanga (wa pili kulia) akiwasili Makao Makuu ya Jeshi la Zimamoto na Uokoaji yaliopo Mnazi Mmoja jijini…

Continue Reading....

Mbunge Wa Arumeru Mashariki Joshua Nassari Ageuka Magufuli, Afanya Ziara ya Kushitukiza

Posted on: January 7, 2016January 7, 2016 - Yohana Chance
Mbunge Wa Arumeru Mashariki Joshua Nassari Ageuka Magufuli, Afanya Ziara ya Kushitukiza

Mbunge wa Arumeru Mashariki Joshua Nassari Akisikiliza kero za wagonjwa katika Hospitali ya Tengeru , alifika hospitalini hapo ili kujua matatizo yanawakumba wagonjwa, hasa wakina…

Continue Reading....

Waziri Prof Mbarawa Aitaka TAZARA Kufanya Kazi Kibiashara

Posted on: January 7, 2016 - jomushi
Post Tags: Reli ya Tazara
Waziri Prof Mbarawa Aitaka TAZARA Kufanya Kazi Kibiashara

WAZIRI wa Ujenzi, Uchukuzi na Mawasiliano Prof. Makame mbarawa amewataka watendaji na wafanyakazi wote wa shirika la reli la Tanzania na Zambia (TAZARA), kufanya kazi…

Continue Reading....

Posts navigation

Older posts
Newer posts
thehabari