Skip to content
Habari  | Michezo | Mahusiano | Blog Tanzania
  • Habari
    • Habari za Kimataifa
    • Habari za Uchunguzi
    • Habari za biashara
    • Habari za Vijijini
  • Matukio Katika Picha
  • Burudani
  • Uchambuzi
  • Michezo
    • Matokeo Ya Ligi Kuu Ya Uingereza (English Premier League)
  • Home
  • Habari za Nyumbani
  • Page 1,083

Category: Habari za Nyumbani

Udhibiti ufisadi umepandisha mapato ya vivuko-Dk Magufuli

Posted on: January 2, 2012January 2, 2012 - jomushi
Udhibiti ufisadi umepandisha mapato ya vivuko-Dk Magufuli

    Magreth Kinabo- MAELEZO, Dar es Salaam SERIKALI imesema mapato yanayopatikana kwenye Kivuko cha Magogoni yameongezeka toka sh. milioni sita hadi kufikia sh. milioni…

Continue Reading....

Mji wa Sudan Kusini watekwa

Posted on: January 2, 2012 - jomushi
Mji wa Sudan Kusini watekwa

MJI wa Pibor ulitekwa na kabila la Lou Nuer Jumamosi, ingawa kulikuwa na askari wa Umoja wa Mataifa hapo pamoja na wanajeshi wa serikali. Shirika…

Continue Reading....

Waumini Kanisa la Kikristo kujengewa uwezo

Posted on: January 2, 2012 - jomushi
Waumini Kanisa la Kikristo kujengewa uwezo

Na Tiganya Vincent, MAELEZO- Dar es Salaam WASHIRIKI zaidi ya 200 wa Kanisa la Kristo kutoka sehemu mbalimbali nchini wanatarajia kukutana jijini Dar es Salaam…

Continue Reading....

Dk. Shein ahaidi neema 2012 kwa Wazanzibar

Posted on: January 2, 2012 - jomushi
Dk. Shein ahaidi neema 2012 kwa Wazanzibar

Na Rajab Mkasaba, Ikulu Zanzibar SERIKALI ya Mapinduzi Zanzibar (SMZ) mwaka 2012 imeahidi kuimarisha miundombinu na ubora wa huduma za jamii zikiwemo elimu, afya na…

Continue Reading....

Shambulio la Garissa Al-shabaab wausishwa watano wauwawa

Posted on: January 2, 2012 - jomushi
Shambulio la Garissa Al-shabaab wausishwa watano wauwawa

WATU WATANO wameuwawa na zaidi ya 20 kujeruhiwa kwenye klabu ya starehe mjini Garissa, kaskazini-mashariki mwa Kenya. Washambuliaji walirusha maguruneti kwenye klabu hiyo na kisha…

Continue Reading....

JK awateua makatibu wakuu wizara anuai

Posted on: January 1, 2012 - jomushi
JK awateua makatibu wakuu wizara anuai

RAIS wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Jakaya Kikwete, Desemba 30, 2011, alifanya uteuzi wa Makatibu Wakuu na Naibu Katibu Mkuu na pia amefanya uhamisho…

Continue Reading....

Posts navigation

Older posts
Newer posts
thehabari