Skip to content
Habari  | Michezo | Mahusiano | Blog Tanzania
  • Habari
    • Habari za Kimataifa
    • Habari za Uchunguzi
    • Habari za biashara
    • Habari za Vijijini
  • Matukio Katika Picha
  • Burudani
  • Uchambuzi
  • Michezo
    • Matokeo Ya Ligi Kuu Ya Uingereza (English Premier League)
  • Home
  • Michezo na Burudani
  • Page 81

Category: Michezo na Burudani

Asernal Walejea Nafasi ya Tatu Ligi Kuu ya Uingereza

Posted on: April 22, 2016 - Yohana Chance
Asernal Walejea Nafasi ya Tatu Ligi Kuu ya Uingereza

Washika bunduki wa London Arsenal wakicheza katika uwanja wao wa Emirate wameibuka na ushindi wa mabao 2-0 dhidi ya West Bromwich Albion. Mshambuliaji Alexis Sanchez…

Continue Reading....

Mwanamuziki Prince Afariki Dunia Akiwa na Miaka 57

Posted on: April 22, 2016 - Yohana Chance
Mwanamuziki Prince Afariki Dunia Akiwa na Miaka 57

Mwanamuziki kutoka Marekani maarufu kwa muziki wa chapa Funk, Prince ameaga dunia. Mwanamuziki huyo raia wa Marekani alipatikana ameaga dunia katika makazi yake ya huko…

Continue Reading....

Yanga Yatupwa Angola Kombe la Shirikisho

Posted on: April 21, 2016April 21, 2016 - Yohana Chance
Yanga Yatupwa Angola Kombe la Shirikisho

Katika droo iliyofanyika leo makao mkuu ya CAF Klabu YANGA SC imepangwa ba na Sagrada Esperanca ya Angola kuwania kuingia kwenye makundi ya Kombe la…

Continue Reading....

Barcelona Hii Sasa Sifa, Yaangusha Mvua ya Mgoli

Posted on: April 21, 2016 - Yohana Chance
Barcelona Hii Sasa Sifa, Yaangusha Mvua ya Mgoli

Klabu ya soka ya Barcelona imepata ushindi wa kishindo kwa kuichapa Deportivo La Coruna mabao 8-0. Mshambuliji wa Luis Suarez akianza kufunga bao la kwanza…

Continue Reading....

Matokeo, Msimamo na Ratiba ya Ligi Kuu ya Uingereza Soma Hapa

Posted on: April 21, 2016 - Yohana Chance
Matokeo, Msimamo na Ratiba ya Ligi Kuu ya Uingereza Soma Hapa

Ligi kuu England imeendelea kwa michezo mitatu kupigwa huku timu za West Ham, Liverpool,Man United wakishinda michezo yao. Wagonga nyundo wa West Ham wameibuka na…

Continue Reading....

Wakimataifa Waangukia Pua Misri

Posted on: April 21, 2016 - Yohana Chance
Wakimataifa Waangukia Pua Misri

Wakicheza Ugenini huko Nchini Misri, Yanga wamefungwa 2-1 na Al Ahly na kuondolewa katika michuano ya klabu bingwa Africa. Mabingwa watetezi Tp Mazembe wakaondolewa katika…

Continue Reading....

Posts navigation

Older posts
Newer posts
thehabari