Rais wa Zanzibar Dk. Ali Mohamed Shein, akishiriki na waumini wengine wa dini ya Kiislamu kusalia Jeneza la marehemu msanii Maulid Mohammed ‘Machaprala’, katika msikiti…
Continue Reading....Category: Michezo na Burudani
Barmingham City ya Uingereza kuja Tanzania
Kocha Msaidizi wa Timu ya Barmingham City, kutoka nchini Uingereza inayoshiriki Ligi Kuu ya nchini humo, Andy Watson (kulia) akizungumza na waandishi wa habari jijini…
Continue Reading....Mashindano ya KCB East African Tour 2011 yazinduliwa
Na Janeth Mushi Arusha MASHINDANO ya Benki ya Biashara Kenya (KCB) East Africa Golf Tour 2011 yanayoanza leo mjini hapa katika viwanja vya Arusha Gymkana…
Continue Reading....JAMBO LEO MABINGWA NSSF CUP
TIMU ya soka ya Jambo Leo ‘Wagumu Star’ inayomilikiwa na kampuni ya Jambo Concepts Ltd, imetwaa Ubingwa wa Kombe la Shirika la Taifa la Hifadhi…
Continue Reading....JAMBO LEO YAIVUA GAMBA UHURU
TIMU ya soka ya Jambo Leo ‘Wagumu Star’ jana imeibanjua timu ya soka ya Uhuru inayomilikiwa na Chama Cha Mapinduzi (CCM) ‘wazee wa kujivua gamba’…
Continue Reading....YANGA BINGWA TANZANIA, SIMBA MAMBO MABAYA
BAADA ya timu ya Yanga ya Dar es Salaam kutangazwa Mabingwa wa Ligi Kuu ya Vodacom Tanzania Bara, hali imekuwa mbaya kwa wapinzani wao wa…
Continue Reading....