Skip to content
Habari  | Michezo | Mahusiano | Blog Tanzania
  • Habari
    • Habari za Kimataifa
    • Habari za Uchunguzi
    • Habari za biashara
    • Habari za Vijijini
  • Matukio Katika Picha
  • Burudani
  • Uchambuzi
  • Michezo
    • Matokeo Ya Ligi Kuu Ya Uingereza (English Premier League)
  • Home
  • Michezo na Burudani
  • Page 321

Category: Michezo na Burudani

Usajili Ligi Daraja la Kwanza Agosti 17

Posted on: August 12, 2011 - jomushi
Usajili Ligi Daraja la Kwanza Agosti 17

USAJILI wa wachezaji wa klabu za Ligi Daraja la Kwanza kwa msimu huu utafanyika baada ya kumalizika Ligi ya Taifa hatua ya fainali inayoendelea hivi…

Continue Reading....

Kamati TFF yamrejesha Mchaki

Posted on: August 12, 2011 - jomushi
Kamati TFF yamrejesha Mchaki

KAMATI ya Uchaguzi ya TFF ilikutana Agosti 10 na 11 mwaka huu kujadili rufani ya Frank Mchaki kupinga uamuzi wa Kamati ya Uchaguzi ya Chama…

Continue Reading....

Simba na Yanga sasa kuvaana usiku Agosti 17

Posted on: August 12, 2011 - jomushi
Simba na Yanga sasa kuvaana usiku Agosti 17

MECHI ya Ngao ya Jamii (Community Shield) kufungua msimu mpya wa Ligi Kuu ya Vodacom kati ya mabingwa watetezi Yanga na Makamu Bingwa Simba itachezwa…

Continue Reading....

Azam FC yatoka suluu na SC Villa ya Uganda

Posted on: August 11, 2011 - jomushi
Azam FC yatoka suluu na SC Villa ya Uganda

Kampala, TIMU ya Azam FC imetoka sare na Timu ya Mpira wa Miguu ya SC Villa ya nchiniUganda. Katika mchezo huo uliochezwa jana mjini Kampala,…

Continue Reading....

Jukwaa la FFU lavamiwa na mashabiki!

Posted on: August 10, 2011August 10, 2011 - jomushi
Jukwaa la FFU lavamiwa na mashabiki!

FRANKFURT, UJERUMANI JUMAMOSI iliyopita mambo yalikuwa ni moto, ‘asiye na mwana abebe jiwe’, katika tamasha la Afro-karibik, Robstock park, Frankfurt, nchini Ujerumani. Pata shika la…

Continue Reading....

TFF yatupilia mbali pingamizi la Yanga dhidi ya Simba

Posted on: August 9, 2011 - jomushi
TFF yatupilia mbali pingamizi la Yanga dhidi ya Simba

KAMATI haikusikiliza pingamizi la Yanga dhidi ya Simba kuhusu wachezaji iliyotoa kwa mkopo baada ya kubaini kuwa wachezaji ambao Simba imewatoa kwa mkopo ni wane…

Continue Reading....

Posts navigation

Older posts
Newer posts
thehabari