Skip to content
Habari  | Michezo | Mahusiano | Blog Tanzania
  • Habari
    • Habari za Kimataifa
    • Habari za Uchunguzi
    • Habari za biashara
    • Habari za Vijijini
  • Matukio Katika Picha
  • Burudani
  • Uchambuzi
  • Michezo
    • Matokeo Ya Ligi Kuu Ya Uingereza (English Premier League)
  • Home
  • Michezo na Burudani
  • Page 320

Category: Michezo na Burudani

Hatimaye Febregas atua Barcelona

Posted on: August 16, 2011August 16, 2011 - jomushi
Hatimaye Febregas atua Barcelona

Cesc Fabregas tayari ni mchezaji rasmi wa Barcelona baada ya kusaini mkataba wa miaka mitano na mabingwa hao wa Ulaya. Nahodha huyo wa zamani wa…

Continue Reading....

‘FFU’ Ngoma Africa Band kutingisha Jukwaa la Afrika Festival, Ujerumani Agosti 20

Posted on: August 15, 2011 - jomushi
‘FFU’ Ngoma Africa Band kutingisha Jukwaa la Afrika Festival, Ujerumani Agosti 20

BENDI maarufu ya muziki wa dansi barani Ulaya “Ngoma Africa Band” aka FFU, wanatalajia kutumbuiza katika onesho lingine kubwa la wazi mjini Aschweiler, nchini Ujerumani.…

Continue Reading....

Nyota wa mpira wa kikapu Marekani kuja Tanzania

Posted on: August 15, 2011 - jomushi
Nyota wa mpira wa kikapu Marekani kuja Tanzania

Taarifa kwa wadau na wapenzi wa mpira wa kikapu Tanzania. SHIRIKISHO la Mpira wa Kikapu Tanzania pamoja na ndugu zetu wa Ubalozi wa Marekani nchini…

Continue Reading....

Timu ya Kamanda Kova yaingia Daraja la Kwanza

Posted on: August 15, 2011 - jomushi
Timu ya Kamanda Kova yaingia Daraja la Kwanza

Na Mwandishi wetu’ LIGI ya Taifa ngazi ya Fainali imemalizika jana kwenye Uwanja wa Mkwakwani, jijini Tanga, huku ikizipa nafasi ya kupanda daraja la kwanza…

Continue Reading....

Kuziona Simba na Yanga Jumatano sh 5,000/-

Posted on: August 15, 2011 - jomushi
Kuziona Simba na Yanga Jumatano sh 5,000/-

Na Mwandishi Wetu, VIINGILIO katika mechi ya Ngao ya Jamii (Community Shield) kufungua msimu mpya wa Ligi Kuu ya Vodacom kati ya mabingwa watetezi Yanga…

Continue Reading....

Newcastle, Arsenal watoka sare, Bolton yauwa, Leverpool yakwama

Posted on: August 14, 2011August 14, 2011 - jomushi
Newcastle, Arsenal watoka sare, Bolton yauwa, Leverpool yakwama

NEWCASTLE imetoka sare ya 0-0 na Arsenal katika mchezo uliokuwa na kasoro za hapa na pale. Katika mchezo huo mshambuliaji wa Arsenal kutoka Ivory Coast,…

Continue Reading....

Posts navigation

Older posts
Newer posts
thehabari