Skip to content
Habari  | Michezo | Mahusiano | Blog Tanzania
  • Habari
    • Habari za Kimataifa
    • Habari za Uchunguzi
    • Habari za biashara
    • Habari za Vijijini
  • Matukio Katika Picha
  • Burudani
  • Uchambuzi
  • Michezo
    • Matokeo Ya Ligi Kuu Ya Uingereza (English Premier League)
  • Home
  • Michezo na Burudani
  • Page 219

Category: Michezo na Burudani

Rais TFF Kufungua Kozi ya Futuro III, Abubakar Mchezaji Bora

Posted on: October 28, 2014 - jomushi
Post Tags: Futuro III, Mchezaji Bora, Rais TFF
Rais TFF Kufungua Kozi ya Futuro III, Abubakar Mchezaji Bora

RAIS wa Shirikisho la Mpira wa Miguu Tanzania (TFF), Jamal Malinzi Oktoba 29 mwaka huu anafungua kozi ya ukufunzi wa waamuzi ya FUTURO III ya…

Continue Reading....

Msanii Ebrahim Makunja Ahojiwa na Offener TV

Posted on: October 28, 2014 - jomushi
Post Tags: Msanii, Offener TV, Ujerumani
Msanii Ebrahim Makunja Ahojiwa na Offener TV

MWANAMUZIKI Ebrahim Makunja a.k.a Kamanda Ras Makunja kiongozi mwanzilishi wa bendi maarufu Ngoma Africa almaharufu FFU-Ughaibuni ya Ujerumani, juzi alifanya mahojiano na kituo cha TV…

Continue Reading....

Miss Universe 2014 Waingia Kambini Golden Tulip Hotel

Posted on: October 28, 2014 - jomushi
Post Tags: Golden Tulip Hotel, Kambini, Miss Universe
Miss Universe 2014 Waingia Kambini Golden Tulip Hotel

WAREMBO wa Miss Universe Tanzania 2014 wameanza rasmi kambi katika hoteli yenye hadhi ya kipekee Golden Tulip Hotel. Hii ni kwa ajili ya kujiandaa na…

Continue Reading....

Lulu Aitambulisha Filamu Yake Mapenzi ya Mungu

Posted on: October 28, 2014October 28, 2014 - jomushi
Post Tags: Lulu, Mapenzi ya Mungu, Msanii
Lulu Aitambulisha Filamu Yake Mapenzi ya Mungu

 Msanii wa Sanaa ya Maigizo Nchini, Elizabeth Michael almaarufu kama Lulu akiongea na waandishi wa habari (hawapo pichani) wakati wa Alipokuwa akiitambulisha filamu yake Mpya…

Continue Reading....

Diamond Azidi Kujichanganya JWTZ, Aandika Barua ya ‘Vituko’…!

Posted on: October 27, 2014 - jomushi
Post Tags: diamond, JWTZ, Msanii
Diamond Azidi Kujichanganya JWTZ, Aandika Barua ya ‘Vituko’…!

Na Mwandishi Wetu, MSANII wa Muziki wa Kizazi kipya Naseeb Abdullah a.k.a Diamond Platinamz amezidi kujichanganya katika kosa linalomkabili na kutumia mavazi wa JWTZ kwenye…

Continue Reading....

Breaking News – Sitti Abbas Mtemvu Ajivua Taji La Miss Tanzania

Posted on: October 25, 2014 - admin
Breaking News – Sitti Abbas Mtemvu Ajivua Taji La Miss Tanzania

Baada ya watu kuja na ushahidi kuwa miss Tanzania 2014 Sitti Abbas Mtemvu amedanganya kuhusu umri wake, ameamua kujivua taji lake. Amepost mwenyewe habari hizi…

Continue Reading....

Posts navigation

Older posts
Newer posts
thehabari