Skip to content
Habari  | Michezo | Mahusiano | Blog Tanzania
  • Habari
    • Habari za Kimataifa
    • Habari za Uchunguzi
    • Habari za biashara
    • Habari za Vijijini
  • Matukio Katika Picha
  • Burudani
  • Uchambuzi
  • Michezo
    • Matokeo Ya Ligi Kuu Ya Uingereza (English Premier League)
  • Home
  • Trending
  • Page 402

Category: Trending

MO Dewji Foundation Yatoa Milioni 110 Kusaidia Watoto Wagonjwa wa Kansa

Posted on: December 17, 2015 - jomushi
Post Tags: Magonjwa ya kansa
MO Dewji Foundation Yatoa Milioni 110 Kusaidia Watoto Wagonjwa wa Kansa

Meneja Mwendeshaji wa Taasisi ya MO Dewji, Francesca Tettamanzi (kulia) akitoa neno la ukaribisho kwa uongozi wa Taasisi ya Tumaini la Maisha inayohudumia watoto wenye…

Continue Reading....

Waziri Kairuki Kutafuta Changamoto na Watumishi

Posted on: December 17, 2015 - jomushi
Waziri Kairuki Kutafuta Changamoto na Watumishi

WAZIRI wa Nchi Ofisi ya Rais-Utumishi na Utawala Bora, Anjella Kairuki (Mb) amesema atakaa na Watumishi katika ofisi zao ili kubaini changamoto zinazowakabili na kuzitatua.…

Continue Reading....

TFF, TRA Wavutana, Mkutano Mkuu Wapigwa Kalenda

Posted on: December 17, 2015 - Yohana Chance
TFF, TRA Wavutana, Mkutano Mkuu Wapigwa Kalenda

Mkutano Mkuu wa kawaida wa Shirikisho la Mpira wa Miguu (TFF) uliokuwa ufanyike Tanga ikiwamo shughuli ya uwekaji jiwe la msingi kwenye kiwanja cha TFF…

Continue Reading....

Wazee TAFF Wamtaka Rais Atengue Kauli Yake

Posted on: December 17, 2015 - Yohana Chance
Wazee TAFF Wamtaka Rais Atengue Kauli Yake

Wazee wa shirikisho la filamu Tanzania (TAFF) hawajakubaliana na uamuzi wa Rais wa shirikisho hilo Bw. Simon Mwakifwamba kutogombea tena nafasi ya Uraisi katika shirikisho…

Continue Reading....

Japani Yaipa Tanzania Bil 210 Kusaidia Nishati ya Umeme

Posted on: December 16, 2015 - jomushi
Post Tags: Sekta ya Umeme
Japani Yaipa Tanzania Bil 210 Kusaidia Nishati ya Umeme

SERIKALI ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania imesaini mkataba na Serikali ya Japani kiasi cha shilingi Bilioni 210 kwa ajili ya maendeleo ya mradi wa…

Continue Reading....

ACT-Wazalendo Yaingilia Mgogoro wa Burudi, Yakerwa na Mauaji

Posted on: December 16, 2015 - jomushi
Post Tags: ACT Wazalendo
ACT-Wazalendo Yaingilia Mgogoro wa Burudi, Yakerwa na Mauaji

CHAMA cha ACT-Wazalendo kinasikitishwa sana na mauaji yanayoendelea nchini Burundi na hasa Mji Mkuu wa nchi hiyo Bujumbura. Hali hii ya mauaji imesababishwa kwa kiasi…

Continue Reading....

Posts navigation

Older posts
Newer posts
thehabari