Skip to content
Habari  | Michezo | Mahusiano | Blog Tanzania
  • Habari
    • Habari za Kimataifa
    • Habari za Uchunguzi
    • Habari za biashara
    • Habari za Vijijini
  • Matukio Katika Picha
  • Burudani
  • Uchambuzi
  • Michezo
    • Matokeo Ya Ligi Kuu Ya Uingereza (English Premier League)
  • Home
  • Trending
  • Page 368

Category: Trending

Kaimu Mkurugenzi Mkuu TAKUKURU Atangaza Kiama Kwa wala Rushwa

Posted on: January 26, 2016 - jomushi
Kaimu Mkurugenzi Mkuu TAKUKURU Atangaza Kiama Kwa wala Rushwa

 Kaimu Mkurugenzi Mkuuwa Taasisi ya Kuzuia na Kupambana na Rushwa Nchini (Takukuru), Kamishna Valentino Mlowola (kushoto), akizungumza katika mkutano na waandishi wa habari ofisini jijini…

Continue Reading....

TRA Yawaomba Wananchi Kutoa Ushirikiano

Posted on: January 26, 2016 - jomushi
TRA Yawaomba Wananchi Kutoa Ushirikiano

Mamlaka ya Mapato Tanzania (TRA) yawaomba wananchi kutoa ushirikiano kwa kutoa taarifa za Maafisa wanaofanya kazi kinyume na maadili. Akiongea na mwandishi wa habari hii…

Continue Reading....

UDA Yakanusha Juu ya Taarifa ya Kufirisika

Posted on: January 26, 2016 - jomushi
UDA Yakanusha Juu ya Taarifa ya Kufirisika

Mwenyekiti Mtendaji wa Kampuni ya Simon Group, Robert  Simon Kisena

Continue Reading....

Ramires Atimukia China, Drogba Abaniwa Kurejea Chelsea

Posted on: January 26, 2016 - Yohana Chance
Ramires Atimukia China, Drogba Abaniwa Kurejea Chelsea

Kiungo wa kimataifa wa Brazil na klabu ya soka Chelsea Ramires Santos do Nascimento anakaribia kujiunga na timu ya Jiangsu Suning ya China. Kiungo huyu…

Continue Reading....

Wimbo Wa Adele Watazamwa Mara Bilioni You Tube

Posted on: January 26, 2016 - Yohana Chance
Wimbo Wa Adele Watazamwa Mara Bilioni You Tube

Wimbo wa mwanamuziki Mwingereza Adele umevunja rekodi nyingine kwa kutazamwa mara bilioni moja haraka zaidi katika YouTube. Video ya wimbo huo, Hello, imetazamwa mara bilioni…

Continue Reading....

Gari la Kwanza Daraja la Kigamboni Kuvuka Machi Mosi

Posted on: January 25, 2016 - jomushi
Post Tags: Daraja KIgamboni
Gari la Kwanza Daraja la Kigamboni Kuvuka Machi Mosi

mii (N.S.S.F) Mhandisi John Msemo, akimuonesha Katibu Mkuu Wizara ya Ujenzi, Uchukuzi na Mawasiliano (sehemu ya Ujenzi) Eng. Joseph Nyamhanga (wa kwanza kulia) sehemu ya…

Continue Reading....

Posts navigation

Older posts
Newer posts
thehabari