Skip to content
Habari  | Michezo | Mahusiano | Blog Tanzania
  • Habari
    • Habari za Kimataifa
    • Habari za Uchunguzi
    • Habari za biashara
    • Habari za Vijijini
  • Matukio Katika Picha
  • Burudani
  • Uchambuzi
  • Michezo
    • Matokeo Ya Ligi Kuu Ya Uingereza (English Premier League)
  • Home
  • Trending
  • Page 346

Category: Trending

Prof. Ndalichako Atumbua Majipu Bodi ya Mikopo, Mkurugenzi Atimuliwa

Posted on: February 16, 2016February 16, 2016 - jomushi
Post Tags: Bodi ya Mikopo Elimu ya Juu
Prof. Ndalichako Atumbua Majipu Bodi ya Mikopo, Mkurugenzi Atimuliwa

Na Jacquiline Mrisho MAELEZO WAZIRI wa Elimu, Sayansi, Teknolojia na Ufundi Prof. Joyce Ndalichako amesitisha mkataba wa ajira wa Mkurugenzi Mtendaji wa Bodi ya Mikopo,…

Continue Reading....

Mwanamuziki ‘John Walker’ Afariki Dunia…!

Posted on: February 16, 2016February 16, 2016 - jomushi
Post Tags: John Walker
Mwanamuziki ‘John Walker’ Afariki Dunia…!

AKIZUNGUMZA kwa njia ya simu na mwandishi wa habari hizi kaka wa marehemu Omari Milay, alisema walipigiwa simu alfajiri ya leo na kujulishwa kuwa ndugu…

Continue Reading....

Manchester United, Liverpool na Tottenham Ndani ya EUROPA Ligi

Posted on: February 16, 2016 - Yohana Chance
Manchester United, Liverpool na Tottenham Ndani ya EUROPA Ligi

Raundi ya Mtoano ya Timu 32 ya UEFA EUROPA LIGI itachezwa Wiki hii kwa Mechi 16 na England ina Timu 3 ambazo ni Manchester United,…

Continue Reading....

TFF Wamkomalia Mwinyi Kazimoto Kumpiga Mwandishi wa Habari

Posted on: February 16, 2016 - Yohana Chance
TFF Wamkomalia Mwinyi Kazimoto Kumpiga Mwandishi wa Habari

Shirikisho la Mpira wa Miguu Tanzania (TFF) limepokea kwa masikitiko taarifa ya kupigwa kwa mwandishi wa habari za michezo wa gazeti la Mwanaspoti nchini, Mwanahiba…

Continue Reading....

Rais Magufuli Aendelea Kupanga Safu Yake, Awateuwa Migiro, Chikawe na Dau

Posted on: February 15, 2016 - jomushi
Post Tags: Rais Magufuli
Rais Magufuli Aendelea Kupanga Safu Yake, Awateuwa Migiro, Chikawe na Dau

RAIS wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dk. John Pombe Magufuli ameendelea kufanya uteuzi wake katika maeneo anuai na sasa ameteuwa mabalozi watatu katika Wizara…

Continue Reading....

Prof Mbarawa Akomalia Mapato Sekta ya Miundombinu Musoma

Posted on: February 15, 2016 - jomushi
Post Tags: Miundombinu
Prof Mbarawa Akomalia Mapato Sekta ya Miundombinu Musoma

WAZIRI wa Ujenzi, Uchukuzi na Mawasiliano Prof. Makame Mbarawa amewataka watendaji walio chini ya Wizara yake kuongeza kasi ya kukusanya mapato ili kuwezesha malengo ya…

Continue Reading....

Posts navigation

Older posts
Newer posts
thehabari