Skip to content
Habari  | Michezo | Mahusiano | Blog Tanzania
  • Habari
    • Habari za Kimataifa
    • Habari za Uchunguzi
    • Habari za biashara
    • Habari za Vijijini
  • Matukio Katika Picha
  • Burudani
  • Uchambuzi
  • Michezo
    • Matokeo Ya Ligi Kuu Ya Uingereza (English Premier League)
  • Home
  • Trending
  • Page 339

Category: Trending

Waziri Mkuu Akabidhi Msaada Uliochangwa Kusaidia Waliokumbwa na Mafuriko Iringa

Posted on: February 22, 2016 - jomushi
Post Tags: maafa
Waziri Mkuu Akabidhi Msaada Uliochangwa Kusaidia Waliokumbwa na Mafuriko Iringa

WAZIRI Mkuu Kassim Majaliwa amepokea misaada mbalimbali yenye thamani ya sh. milioni 85.88/- kwa ajili ya wananchi walioathirika na mafuriko kwenye vijiji vya kata ya…

Continue Reading....

Kama Ulipitwa: Pata Picha 20 Mchezo wa Watani wa Jadi, Simba na Yanga

Posted on: February 22, 2016February 22, 2016 - Yohana Chance
Kama Ulipitwa: Pata Picha 20 Mchezo wa Watani wa Jadi, Simba na Yanga

Kwa wale wapenzi wa soka hasa wapenzi wa Mnayama Simba najua Mwishoni mwa wiki siku zao hazikwenda sawia baada ya timu yao kukubali kichapo cha…

Continue Reading....

Samsung Galaxy S7 edge na Galaxy S7 zimeshatoka

Posted on: February 22, 2016 - admin
Post Tags: Galaxy S7, Samsung Galaxy S7 edge, Samsung Galaxy S7 edge na Galaxy S7
Samsung Galaxy S7 edge na Galaxy S7 zimeshatoka

Kwa wale wapenzi wa simu za kisasa, simu mpya aina ya Samsung Galaxy S7 edge na Galaxy S7 zimeshatoka. Angalia video yake hapa (Samsung Galaxy…

Continue Reading....

Waziri wa Uchukuzi Capt Andrew Matilya Atembelea Bandari ya Tanga

Posted on: February 21, 2016 - Yohana Chance
Waziri wa Uchukuzi Capt Andrew Matilya Atembelea Bandari ya Tanga

Kaimu Mkuu wa Bandari ya Tanga, Capt Andrew Matilya Katikati akiwa na naibu Waziri wa Ujenzi, Uchukuzi na Mwasiliano Katikati Eng. Edwin Ngonyani Wakitembelea Bandari…

Continue Reading....

Suarez, Neymar Waipaisha Barcelona Ikishinda 2-1 Ikiilaza Las Palmas

Posted on: February 20, 2016February 20, 2016 - Yohana Chance
Suarez, Neymar Waipaisha Barcelona Ikishinda 2-1 Ikiilaza Las Palmas

Barcelona wameendeleza rekodi yao ya kutopoteza mchezo kwenye ligi ya Hispania La Liga baada ya kuichapa Las Palmas kwa bao 2-1 na kuendelea kukaa kileleni…

Continue Reading....

TP Mazembe Wazidi Kuweka Rekodi Nyingine Afrika Baada ya Kubeba Kombe

Posted on: February 20, 2016February 20, 2016 - Yohana Chance
TP Mazembe Wazidi Kuweka Rekodi Nyingine Afrika Baada ya Kubeba Kombe

MABAO mawili ya kipindi cha kwanza ya Daniel Nii Adjei yametosha kuipa TP Mazembe ubingwa wa Super ya Shirikisho la SOka Afrika (CAF) baada ya…

Continue Reading....

Posts navigation

Older posts
Newer posts
thehabari