Skip to content
Habari  | Michezo | Mahusiano | Blog Tanzania
  • Habari
    • Habari za Kimataifa
    • Habari za Uchunguzi
    • Habari za biashara
    • Habari za Vijijini
  • Matukio Katika Picha
  • Burudani
  • Uchambuzi
  • Michezo
    • Matokeo Ya Ligi Kuu Ya Uingereza (English Premier League)
  • Home
  • Trending
  • Page 300

Category: Trending

Waholanzi Wakamatwa KIA Wakisafirisha Tumbili

Posted on: March 25, 2016 - jomushi
Post Tags: Wizi Wanyama
Waholanzi Wakamatwa KIA Wakisafirisha Tumbili

VYOMBO vya ulinzi na usalama katika uwanja wa ndege wa kimataifa wa Kilimanjaro (KIA) vimefanikiwa kuwanasa wafanyabiashara wawili ndugu, raia wa Uholanzi wakiwa katika harakati…

Continue Reading....

Matukio Katika Picha Jinsi Rais Wa Zanzibar Alivyoapishwa

Posted on: March 24, 2016March 24, 2016 - Yohana Chance
Matukio Katika Picha Jinsi Rais Wa Zanzibar Alivyoapishwa

RAIS Mteule wa Zanzibar, Dk Ali Mohammed Shein ameapishwa leo kwenye Uwanja wa Amaan mjini Zanzibar. Kuapishwa kwa Dk Shein kunamfanya apate fursa nyingine ya…

Continue Reading....

Taifa Stars Kulejea Leo, Baada ya Kuilaza Chad

Posted on: March 24, 2016 - Yohana Chance
Taifa Stars Kulejea Leo, Baada ya Kuilaza Chad

Kikosi cha timu ya Taifa ya Tanzania ‘Taifa Stars’ kinachodhaminiwa na bia ya Kilimanjaro Premium Lager, kinatarajiwa kuwasili leo saa 8 usiku katika uwanja wa…

Continue Reading....

Waziri Mkuu Majaliwa Akutana na Wawekezaji Wa Sukari Kutoka India

Posted on: March 24, 2016 - Yohana Chance
Waziri Mkuu Majaliwa Akutana na Wawekezaji Wa Sukari Kutoka India

Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa akizungumza na ujumbe wa Wawekezaji kutoka India wanaokusudia kuwekeza katika kilimo cha miwa na kiwanda cha sukari hapa nchini, Ofisini kwake…

Continue Reading....

. Marekebisho ya Ligi Kuu Tanzania Bara Hii Hapa

Posted on: March 24, 2016 - Yohana Chance
. Marekebisho ya Ligi Kuu Tanzania Bara Hii Hapa

Marekebisho ya ratiba ya Ligi Kuu ya Vodacom yamezingatia mechi za viporo za timu za Azam na Yanga zinazoshiriki mashindano ya kimataifa (Ligi ya Mabingwa…

Continue Reading....

Rais wa FIFA Infantino Kufanya Mkutano na Rais wa Sudan

Posted on: March 24, 2016 - Yohana Chance
Rais wa FIFA Infantino Kufanya Mkutano na Rais wa Sudan

Rais mpya wa FIFA Gianni Infantino amefungua afisi ya shirikisho la kandanda la Sudan Kusini katika safari yake ya kwanza ya kimataifa tangu achaguliwe rais…

Continue Reading....

Posts navigation

Older posts
Newer posts
thehabari