Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dk. John Pombe Magufuli amemteua Kamishna wa Polisi Thobias Andengenye kuwa Kamishna Mkuu wa Jeshi la Zimamoto nchini.…
Continue Reading....Category: Trending
Rais Dk Magufuli Akutana na Balonzi wa China Dk Lu Youqing
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli akimsikiliza Balozi wa China hapa nchini Dkt. Lu Youqing Ikulu jijini Dar es Salaam.…
Continue Reading....Yanga SC kufanya Uchaguzi Mkuu Juni 5
Kamati ya Uchaguzi ya Shirikisho la Mpira wa Miguu Tanzania (TFF) leo imetangaza Juni 05, 2016 kuwa siku ya Uchaguzi Mkuu wa viongozi ndani ya…
Continue Reading....Leicester City Mwendo Mdundo, Arsenal Yapotezwa
Ligi kuu ya Uingereza imeendekea leo kwa michezo miwili ambapo Katika mchezo wa kwanza The Gunners wameambulia pointi moja baada ya kumaliza mchezo bila ya…
Continue Reading....Prof. Muhongo Atuwa Dar kwa Kishindo, Ashinda Mjadala Bomba la Mafuta
Waziri wa Nishati na Madini, Profesa Sospeter Muhongo, akionyesha kwa wanahabari, mpango wa ujenzi wa Bomba la Mafuta kutoka nchini Uganda mpaka Jijini Tanga,…
Continue Reading....Msemaji wa Papa Wemba Aelezea Kifo Kilivyomkuta, Afia ‘Jukwaani’
TAARIFA ya kufariki kwa mwanamuziki nguli wa kiafrika Papa Wemba imepokewa kwa mshtuko mkubwa na mashabiki wake kote duniani. Video inayosambazwa katika mitandao ya kijamii…
Continue Reading....