WAZIRI wa Ujenzi, Uchukuzi na Mawasiliano, Profesa Makame Mbarawa ametoa wiki mbili kwa mkandarasi ESTIM Construction anayejenga barabara ya Bagamoyo, Sehemu ya Morroco-Mwenge kilomita 4.3…
Continue Reading....Category: Trending
UVCCM Arumeru Wamdindia Mwenyekiti UVCCM Mkoa Arusha
Na Woinde Shizza, Arusha BARAZA la Umoja wa Vijana wa Chama Cha Mapinduzi (UVCCM) wilaya ya Arumeru limelaani kitendo cha Mwenyekiti wa UVCCM Mkoa wa…
Continue Reading....Zitto Kabwe Asema Serikali ya JPM Inamawaziri Hewa…!
KIONGOZI wa Chama cha ACT Wazalendo, Kabwe Zuberi Zitto (Mb) amesema mawaziri wa Serikali ya Awamu ya Tano inayoongozwa na Rais John Pombe Magufuli hawana…
Continue Reading....Serikali Yaunda Kamati Kuanzisha Tume ya TEHAMA
WAZIRI wa Ujenzi, Uchukuzi na Mawasiliano, Prof. Makame Mbarawa, ameunda Kamati ya mpito ya kusimamia uanzishwaji wa Tume ya Teknolojia ya Habari na Mawasiliano (TEHAMA)…
Continue Reading....Rais Dk. Magufuli Afanya Uteuzi Makatibu Tawala wa Mikoa
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli leo tarehe 25 Aprili, 2016 amefanya uteuzi wa Makatibu Tawala wa Mikoa 25 ya…
Continue Reading....