Skip to content
Habari  | Michezo | Mahusiano | Blog Tanzania
  • Habari
    • Habari za Kimataifa
    • Habari za Uchunguzi
    • Habari za biashara
    • Habari za Vijijini
  • Matukio Katika Picha
  • Burudani
  • Uchambuzi
  • Michezo
    • Matokeo Ya Ligi Kuu Ya Uingereza (English Premier League)
  • Home
  • Trending
  • Page 247

Category: Trending

Uchanguzi Yanga Umepamba Moto

Posted on: May 27, 2016 - Yohana Chance
Uchanguzi Yanga Umepamba Moto

Kamati ya Uchaguzi ya Shirikisho la Mpira wa Miguu Tanzania (TFF), limetangaza leo Mei 27, 2016 kuanza kwa mchakato wa kuchukua fomu za kugombea uongozi…

Continue Reading....

Mrema wa TLP ‘Amchokonoa’ Katibu Maalim Seif CUF

Posted on: May 26, 2016 - jomushi
Post Tags: Vyama vya Upinzani
Mrema wa TLP ‘Amchokonoa’ Katibu Maalim Seif CUF

MWENYEKITI wa Taifa wa TLP, Augustino Lyatonga Mrema ameibuka na kumtuhumu Katibu Mkuu wa Chama cha Wananchi CUF, Maalim Seif Shariff Hamad anatumia njia zisizo…

Continue Reading....

TTCL Yazaliwa Upya, Yazinduwa Nembo Mpya na 4G LTE

Posted on: May 26, 2016 - jomushi
Post Tags: Kampuni TTCL
TTCL Yazaliwa Upya, Yazinduwa Nembo Mpya na 4G LTE

KAMPUNI ya Simu Tanzania (TTCL) imefanya mabadiliko ya nembo yake pamoja na kuzinduwa huduma ya mtandao wa kisasa wa 4G LTE ikiwa ni muendelezo wa…

Continue Reading....

Tanzania Yajitoa Kuandaa Michuano ya CECAFA

Posted on: May 26, 2016 - Yohana Chance
Tanzania Yajitoa Kuandaa Michuano ya CECAFA

Shirikisho a Soka Tanzana (TFF), limetangaza kutoandaa michuano ya kuwania Kombe la timu za nchi wanachama wa Shirikisho la Soka la Afrika Mashariki na Kati…

Continue Reading....

Stars Kuondoka Kesho Kwenda Kuivaa Harambee Stars

Posted on: May 26, 2016 - Yohana Chance
Stars Kuondoka Kesho Kwenda Kuivaa Harambee Stars

Kikosi cha timu ya soka ya Tanzania – Taifa Stars, chini ya makocha Charles Boniface Mkwasa na Hemed Morocco kinatarajiwa kuondoka kesho saa 12.00 alfajiri…

Continue Reading....

Prof Mbarawa Afungua Kikao cha TEMESA, Akagua Ujenzi Daraja Ruvu Chini

Posted on: May 25, 2016 - jomushi
Post Tags: Temesa
Prof Mbarawa Afungua Kikao cha TEMESA, Akagua Ujenzi Daraja Ruvu Chini

WAZIRI wa Ujenzi, Uchukuzi na Mawasiliano Profesa Makame Mbarawa, amewataka Watendaji wakuu, Mameneja na Wazalishaji wa Wakala wa Ufundi na Umeme nchini (TEMESA), kutumia maarifa…

Continue Reading....

Posts navigation

Older posts
Newer posts
thehabari