Skip to content
Habari  | Michezo | Mahusiano | Blog Tanzania
  • Habari
    • Habari za Kimataifa
    • Habari za Uchunguzi
    • Habari za biashara
    • Habari za Vijijini
  • Matukio Katika Picha
  • Burudani
  • Uchambuzi
  • Michezo
    • Matokeo Ya Ligi Kuu Ya Uingereza (English Premier League)
  • Home
  • Trending
  • Page 244

Category: Trending

Magaidi Yahofiwa Kushambulia Michuano ya Euro 2016

Posted on: May 31, 2016 - jomushi
Post Tags: Mpira wa Miguu
Magaidi Yahofiwa Kushambulia Michuano ya Euro 2016

TAIFA la Marekani linahofia kwamba huenda michuano ya soka ya Euro 2016 itakayofanyika nchini Ufaransa mwezi ujao ikashambuliwa na magaidi. Idara ya masuala ya kigeni…

Continue Reading....

Mrembo Ahukumiwa Kwenda Jela kwa Kumtusi Rais

Posted on: May 31, 2016 - jomushi
Mrembo Ahukumiwa Kwenda Jela kwa Kumtusi Rais

MAHAKAMA moja mjini Istanbul imemhukumu kwenda jela mshindi wa zamani wa tuzo ya urembo nchini Uturuki kwa kosa la kumtusi rais wa nchi hiyo, Recep…

Continue Reading....

TRA Kugawa Bure Mashine za EFD kwa Wafanyabiashara Wadogo Dar

Posted on: May 31, 2016 - jomushi
Post Tags: TRA Tanzania
TRA Kugawa Bure Mashine za EFD kwa Wafanyabiashara Wadogo Dar

MAMLAKA ya Mapato Tanzania (TRA) imetangaza utaratibu wa kuanza kuwagawia bure Wafanyabiashara wadogo na wakati Mashine za EFD kwa awamu. Akitoa taarifa hiyo kwa umma…

Continue Reading....

Waziri Mkuu Majaliwa Afungua Mkutano wa Africa World Heritage Arusha

Posted on: May 31, 2016 - Yohana Chance
Waziri Mkuu Majaliwa Afungua Mkutano wa Africa World Heritage Arusha

Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa akifungua mkutano wa ‘Africa World Heritage’ kwenye Kituo cha Mikutano cha Kimataifa cha Arusha (AICC) Mei 31, 2016. Kulia ni Waziri…

Continue Reading....

Lionel Messi Kupandishwa Kizimbani Kesho

Posted on: May 31, 2016May 31, 2016 - Yohana Chance
Lionel Messi Kupandishwa Kizimbani Kesho

Nyota wa Argentina Lionel Messi, mmoja wa wanamichezo wanaolipwa pesa nyingi zaidi duniani, anafikishwa kizimbani kesho mjini Barcelona kwa tuhuma za kuipunja Uhispania kwa kukwepa…

Continue Reading....

Rais Dk Magufuli Ampa Shavu Anne Makinda, Ateuwa Wengine 2

Posted on: May 30, 2016 - jomushi
Post Tags: Rais Magufuli
Rais Dk Magufuli Ampa Shavu Anne Makinda, Ateuwa Wengine 2

RAIS wa Tanzania Dk. Pombe John Magufuli amemteuwa Spika mstaafu, Anne Semamba Makinda kuwa Mwenyekiti wa Bodi ya Mfuko wa Taifa wa Bima ya Afya…

Continue Reading....

Posts navigation

Older posts
Newer posts
thehabari