Skip to content
Habari  | Michezo | Mahusiano | Blog Tanzania
  • Habari
    • Habari za Kimataifa
    • Habari za Uchunguzi
    • Habari za biashara
    • Habari za Vijijini
  • Matukio Katika Picha
  • Burudani
  • Uchambuzi
  • Michezo
    • Matokeo Ya Ligi Kuu Ya Uingereza (English Premier League)
  • Home
  • featured
  • Page 73

Category: featured

Baraza la Vyama vya Siasa Lawataka Wajumbe Bunge la Katiba Kuweka mbele Utaifa.

Posted on: March 27, 2014 - jomushi
Baraza la Vyama vya Siasa Lawataka Wajumbe Bunge la Katiba Kuweka mbele Utaifa.

(Na Magreth Kinabo ,MAELEZO Dodoma) KAMATI  ya Uongozi wa Baraza la Vyama vya Siasa inawaomba wajumbe wote wa Bunge Maalum la Katiba kuzingatia kanuni  kwani…

Continue Reading....

Mkuu wa Mkoa Autaka Uongozi wa Dampo Kurekebisha Miundombinu ya Barabara

Posted on: March 27, 2014 - jomushi
Mkuu wa Mkoa Autaka Uongozi wa Dampo Kurekebisha Miundombinu ya Barabara

Gari la Mkuu wa mkoa wa Dar es Salaam, Said Meck Sadick likiwasili Dampo kuu la taka la Pugu Kinyamwezi, lililopo maeneo ya Gongo la…

Continue Reading....

Mamia Wajitokeza Kumuaga Aliyekuwa Mkuu wa Mkoa wa Mara John Gabriel Tuppa

Posted on: March 27, 2014March 27, 2014 - jomushi
Post Tags: featured
Mamia Wajitokeza Kumuaga Aliyekuwa Mkuu wa Mkoa wa Mara John Gabriel Tuppa

    MWILI WA ALIYEKUWA MKUU WA MKOA WA MARA JOHN GABRIEL TUPA UKITOLEWA KWENYE MAKAZI YAKE     WAOMBOLEZAJI WAKIWA NYUMBANI KWA ALIYEKUWA MKUU…

Continue Reading....

“Muungano Utakuwepo na Utaendelea Kudumu”Balozi Seif Ali Iddi

Posted on: March 27, 2014March 27, 2014 - jomushi
Post Tags: featured
“Muungano Utakuwepo na Utaendelea Kudumu”Balozi  Seif  Ali Iddi

  Na  Magreth Kinabo- MAELEZO,DODOMA MAKAMU WA PILI WA RAIS WA ZANZIBAR,  Balozi Seif  Ali Iddi amesema kwamba   Muungano wa Tanzania utakuwepo na  utaendelea kudumu,…

Continue Reading....

Warioba Ajibu Mapigo ya Kikwete

Posted on: March 27, 2014March 28, 2014 - Rungwe Jr.
Post Tags: bunge la katiba, kikwete, warioba
Warioba Ajibu Mapigo ya Kikwete

ILIYOKUWA Tume ya Mabadiliko ya Katiba, chini ya Jaji Joseph Warioba, imetoa ufafanuzi katika baadhi ya maeneo ya Rasimu ya Katiba yaliyokosolewa na Rais Jakaya…

Continue Reading....

Dk. Nchimbi Alia na Wajumbe Wanaotaka Madaraka Bunge la Katiba

Posted on: March 26, 2014March 26, 2014 - jomushi
Post Tags: bunge la katiba
Dk. Nchimbi  Alia na Wajumbe Wanaotaka Madaraka Bunge la Katiba

Na Magreth Kinabo – Maelezo, Dodoma BAADHI YA WAJUMBE wa Bunge la Maalum la Katiba wamewataka wajumbe wenzao kujikita katika mchakato wa mjadala wa Rasimu…

Continue Reading....

Posts navigation

Older posts
Newer posts
thehabari