Skip to content
Habari  | Michezo | Mahusiano | Blog Tanzania
  • Habari
    • Habari za Kimataifa
    • Habari za Uchunguzi
    • Habari za biashara
    • Habari za Vijijini
  • Matukio Katika Picha
  • Burudani
  • Uchambuzi
  • Michezo
    • Matokeo Ya Ligi Kuu Ya Uingereza (English Premier League)
  • Home
  • featured
  • Page 44

Category: featured

Serikali Haijawatimua Kazini Maprofesa Kideghesho na Songorwa

Posted on: May 10, 2014 - jomushi
Post Tags: featured, serikali
Serikali Haijawatimua Kazini Maprofesa Kideghesho na Songorwa

SERIKALI inapenda kutoa ufafanuzi kuhusu taarifa potofu zinazoendelea kuchapishwa na kutangazwa kwenye baadhi ya vyombo vya habari kuhusu Watumishi Waandamizi wa Wizara ya Maliasili na…

Continue Reading....

Mipango ya Wanajamii ni Muhimu Katika Kusimamia Wanyamapori – UNDP

Posted on: May 10, 2014 - jomushi
Post Tags: featured, Wanyamapori
Mipango ya Wanajamii ni Muhimu Katika Kusimamia Wanyamapori – UNDP

KIONGOZI wa UNDP aliyeko ziarani nchini Tanzania, Helen Clark, amesema usimamizi wa maliasili unaoshirikisha jamii ni ufumbuzi wa muda mrefu na wenye ufanisi zaidi kwa…

Continue Reading....

Walimu Wapya Wilaya ya Handeni Waonja Joto ya Jiwe

Posted on: May 8, 2014 - jomushi
Post Tags: featured, Walimu Msingi
Walimu Wapya Wilaya ya Handeni Waonja Joto ya Jiwe

Na Joachim Mushi WAAJIRIWA wapya wa fani ya ualimu wa shule za msingi katika Wilaya ya Handeni, Mkoa wa Tanga wameanza kazi kwa kuonja machungu…

Continue Reading....

Rais Kikwete Awasilisha Rambirambi za Watanzania kwa rais wa Nigeria

Posted on: May 8, 2014May 8, 2014 - jomushi
Post Tags: featured, Rais Kikwete
Rais Kikwete Awasilisha Rambirambi za Watanzania kwa rais wa Nigeria

RAIS wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Jakaya Kikwete, Mei 8, 2014, amekutana na kufanya mazungumzo na Rais wa Nigeria, Goodluck Jonathan katika Hoteli ya…

Continue Reading....

Mfumuko wa Bei Nchini Tanzania Wazidi Kuongezeka

Posted on: May 8, 2014 - jomushi
Post Tags: featured, Mfumuko wa Bei
Mfumuko wa Bei Nchini Tanzania Wazidi Kuongezeka

Na Aron Msigwa – MAELEZO   OFISI ya Taifa ya Takwimu imeeleza kuwa mfumuko wa bei nchini kwa mwezi Aprili umeongezeka ikilinganishwa na mwezi uliopita kutokana…

Continue Reading....

Wanaharakati Wamtaka Rais Kikwete Kuvunja Bunge la Katiba

Posted on: May 8, 2014 - jomushi
Post Tags: featured, Wanaharakati
Wanaharakati Wamtaka Rais Kikwete Kuvunja Bunge la Katiba

Na Mwandishi Wetu WANAHARAKATI  kutoka sehemu mbalimbali wametoa rai kwa Rais Jakaya Kikwete kulivunja Bunge maalum la Katiba  ili kuunda Bunge huru litakalokuwa na wawakilishi…

Continue Reading....

Posts navigation

Older posts
Newer posts
thehabari