Skip to content
Habari  | Michezo | Mahusiano | Blog Tanzania
  • Habari
    • Habari za Kimataifa
    • Habari za Uchunguzi
    • Habari za biashara
    • Habari za Vijijini
  • Matukio Katika Picha
  • Burudani
  • Uchambuzi
  • Michezo
    • Matokeo Ya Ligi Kuu Ya Uingereza (English Premier League)
  • Home
  • featured
  • Page 310

Category: featured

Tendwa Akipa Usajili wa Kudumu Chama Kipya cha 21, CHAUMMA

Posted on: June 4, 2013 - jomushi
Tendwa Akipa Usajili wa Kudumu Chama Kipya cha 21, CHAUMMA

Na Joachim Mushi MSAJILI wa Vyama vya Siasa nchini, John Tendwa amekipa usajili wa kudumu Chama cha Ukombozi wa Umma (CHAUMMA) huku akivitaka vyama vya…

Continue Reading....

Rasimu ya Katiba Mpya Yakamilika, Tanzania Mpya Yaja

Posted on: June 4, 2013 - jomushi
Rasimu ya Katiba Mpya Yakamilika, Tanzania Mpya Yaja

TUME ya Mabadiliko ya Katiba jana ilizindua rasimu ya Katiba Mpya inayopendekeza kuwapo kwa mabadiliko makubwa kwenye mfumo wa utawala, yakiwamo ya kuwa na Serikali…

Continue Reading....

Bajeti ya EAC Yapungua kwa Dola Milioni 10

Posted on: June 3, 2013 - jomushi
Bajeti ya EAC Yapungua kwa Dola Milioni 10

Na James Gashumba, EANA MAKADIRIO ya bajeti ya Jumuiya ya Afrika Mashariki (EAC) iliyowasilishwa mwishoni mwa wiki kwa mwaka wa fedha wa 2013/2014 imepunguza matumizi…

Continue Reading....

Watumiaji Kiswahili Nchini Japan Wazidi Kuongezeka

Posted on: June 3, 2013 - jomushi
Watumiaji Kiswahili Nchini Japan Wazidi Kuongezeka

Na Anna Nkinda – Yokohama WATUMIAJI wa lugha ya Kiswahili wamezidi kuongezeka nchini Japani hadi kufikia hatua ya kuwa na mshindano kwa wanafunzi wa chuo kikuu…

Continue Reading....

Mshindi wa Droo ya Kwanza Winda na Ushinde Akabidhiwa Milioni Moja Marangu

Posted on: June 3, 2013 - jomushi
Mshindi wa Droo ya Kwanza Winda na Ushinde Akabidhiwa Milioni Moja Marangu

Continue Reading....

Sekondari za Kata Mzigo Mpya kwa Wakuu wa Shule

Posted on: June 3, 2013 - jomushi
Sekondari za Kata Mzigo Mpya kwa Wakuu wa Shule

Na Thehabari, Rombo KUANZISHWA kwa Sekondari za Kata maeneo mbalimbali nchini kulikuwa na matumaini makubwa kwa wananchi. Maeneo mengi uitikio wa wananchi umekuwa mkubwa na…

Continue Reading....

Posts navigation

Older posts
Newer posts
thehabari