Skip to content
Habari  | Michezo | Mahusiano | Blog Tanzania
  • Habari
    • Habari za Kimataifa
    • Habari za Uchunguzi
    • Habari za biashara
    • Habari za Vijijini
  • Matukio Katika Picha
  • Burudani
  • Uchambuzi
  • Michezo
    • Matokeo Ya Ligi Kuu Ya Uingereza (English Premier League)
  • Home
  • Rungwe Jr.
  • Page 7

Author: Rungwe Jr.

Hashim Rungwe Jr., ni Muhitimu wa Sayansi ya Siasa(Political Science) kutoka Chuo cha Santa Barbara, jijini California. Amekuwa miongoni mwa waasisi wa Jumuiya ya Wanafunzi wa Kitanzania jijini St. Petersburg, nchini Urusi, na kuongoza Jumuiya hiyo kama Katibu Mkuu na baadae Makamu Mwenyekiti (2002 - 2005). Amekuwa msaidizi wa masuala ya kiufundi katika kampeni ya Mh. Josh Lynn katika uchaguzi wa mwanasheria mkuu wa kitongoji cha Santa Barbara mwaka 2009. kwa sasa ni muasisi mshiriki, na Mhariri Mkuu Kiongozi wa dev.kisakuzi.com, USA. Unaweza kumuandikia kupitia rungwe@dev.kisakuzi.com

Je Huu ni Usafiri Kafiri Au..?

Posted on: April 23, 2014April 24, 2014 - Rungwe Jr.
Post Tags: Dar, majanga, taabu, usafiri
Je Huu ni Usafiri Kafiri Au..?

Pichani, ni wakazi wa jiji la Dar es Salaam kama walivyonaswa leo na mpiga picha wetu wakiwa kwenye heka heka za kuingia kwenye Daladala, ambalo…

Continue Reading....

Ujumbe wa Leo Kutoka Jijini Dar!

Posted on: April 23, 2014April 24, 2014 - Rungwe Jr.
Post Tags: Dar, leo, Ujumbe
Ujumbe wa Leo Kutoka Jijini Dar!

Continue Reading....

Mwananchi- Usifikiri Dampo, ni Kituo Cha Daladala!

Posted on: April 22, 2014April 22, 2014 - Rungwe Jr.
Post Tags: daladala, Dar, Mvua, taabu, wakazi, wananchi
Mwananchi- Usifikiri Dampo, ni Kituo Cha Daladala!

Picha ya kwanza, inaonyesha chakula (mapaja ya kuku) kikiuzwa pembezoni mwa kituo cha Mabasi, Banana, wilayani Ilala. Meza zimewekwa juu ya mifereji ya kupitisha Maji…

Continue Reading....

Jiji la Dar Bado Limejaa Maji!

Posted on: April 22, 2014April 22, 2014 - Rungwe Jr.
Post Tags: Dar, Dar es salaam, maji, mateso, Mvua, wakazi
Jiji la Dar Bado Limejaa Maji!

Kama picha zinavyoonyesha hapo juu, jiji la Dar limeendelea kutesa wakazi wake kwa madimbwi yaliyosheheni Kila kona baada ya mvua kunyesha. Hapo ni maeneo ya…

Continue Reading....

Kama Una Mpango wa Kuoa au Kuolewa, Lazima Usome Hii! Sehemu ya 2

Posted on: April 21, 2014 - Rungwe Jr.
Post Tags: kujamiina, Mahusiano, mapenzi, Ndoa
Kama Una Mpango wa Kuoa au Kuolewa, Lazima Usome Hii! Sehemu ya 2

          Juma lililopita tuliangalia masuala matanohttp://www.thehabari.com/habari-tanzania/kama-una-mpango-wa-kuoa-siku-moja-lazima-usome-hii , ambayo unatakiwa uzingatie kabla haujafanya maamuzi mazito ya kufunga ndoa na mpenzi wako. Leo…

Continue Reading....

Kama Una Mpango Wa Kuoa Au Kuolewa, Lazima Usome Hii!

Posted on: April 10, 2014April 17, 2014 - Rungwe Jr.
Post Tags: kujamiiana, kuolewa, mapenzi
Kama Una Mpango Wa Kuoa Au Kuolewa, Lazima Usome Hii!

    Je umeshawahi kuwa na mashaka yeyote kuhusu kuoa? Je unafikiri haupo tayari kuoa? Kama majibu ya maswali haya ni NDIO, basi zingatia masuala…

Continue Reading....

Posts navigation

Older posts
Newer posts
thehabari