Skip to content
Habari  | Michezo | Mahusiano | Blog Tanzania
  • Habari
    • Habari za Kimataifa
    • Habari za Uchunguzi
    • Habari za biashara
    • Habari za Vijijini
  • Matukio Katika Picha
  • Burudani
  • Uchambuzi
  • Michezo
    • Matokeo Ya Ligi Kuu Ya Uingereza (English Premier League)
  • Home
  • Rungwe Jr.
  • Page 6

Author: Rungwe Jr.

Hashim Rungwe Jr., ni Muhitimu wa Sayansi ya Siasa(Political Science) kutoka Chuo cha Santa Barbara, jijini California. Amekuwa miongoni mwa waasisi wa Jumuiya ya Wanafunzi wa Kitanzania jijini St. Petersburg, nchini Urusi, na kuongoza Jumuiya hiyo kama Katibu Mkuu na baadae Makamu Mwenyekiti (2002 - 2005). Amekuwa msaidizi wa masuala ya kiufundi katika kampeni ya Mh. Josh Lynn katika uchaguzi wa mwanasheria mkuu wa kitongoji cha Santa Barbara mwaka 2009. kwa sasa ni muasisi mshiriki, na Mhariri Mkuu Kiongozi wa dev.kisakuzi.com, USA. Unaweza kumuandikia kupitia rungwe@dev.kisakuzi.com

Pilikapilika za Maadhimisho ya Sherehe ya Miaka 50 ya Muungano

Posted on: April 26, 2014April 26, 2014 - Rungwe Jr.
Post Tags: Muungano, tanzania, wananchi
Pilikapilika za Maadhimisho ya Sherehe ya Miaka 50 ya Muungano

Ujumbe mathubutu kwenye vitenge maalum walivyotengenezwa kwa ajili ya sherehe hizi za miaka 50 ya Muungano wa Tanganyika na Zanzibar kama zilivyonaswa leo na Mpiga…

Continue Reading....

Maandalizi ya Kusheherekea Miaka 50 ya Muungano

Posted on: April 25, 2014April 25, 2014 - Rungwe Jr.
Post Tags: bunge la katiba, Dar, kinondoni, Muungano, serikali, sherehe, wilaya
Maandalizi ya Kusheherekea Miaka 50 ya Muungano

Pichani juu, Ofisi za Mkuu wa Wilaya ya Kinondoni zikiwa zimepambwa kwa bendera ya Tanzania, sambamba na maeneo mengine ya Jiji la Dar. Wakati mabilioni…

Continue Reading....

Bustani ya Kupumzikia Yageuzwa Makazi!

Posted on: April 24, 2014April 24, 2014 - Rungwe Jr.
Post Tags: Dar, kijana, makazi, Vijana
Bustani ya Kupumzikia Yageuzwa Makazi!

Pichani, ni eneo la Umoja Wa Vijana, Mtaa wa Kipande karibu na Exim Bank, inaonekana nguo zikiwa zimeanikwa kwenye Bustani hiyo au kwa ung’eng’e Park.…

Continue Reading....

Wakazi wa Jangwani Waanza Kurejea Kwenye Makazi Yao Licha ya Maafa Yaliyowakuta!

Posted on: April 24, 2014April 24, 2014 - Rungwe Jr.
Post Tags: Dar, maafa, makazi, wakazi
Wakazi wa Jangwani Waanza Kurejea Kwenye Makazi Yao Licha ya Maafa Yaliyowakuta!

Kama picha zilivyonaswa na thehabari hapo juu, inaonekana wakazi wa Jangwani wakirejesha makazi yao licha ya maafa makubwa yaliyowakuta kutokana na mvua kubwa zilizolikumba jiji…

Continue Reading....

Mgonjwa wa Akili Aamua Kujenga Makazi Yake Nje ya Hospitali ya Magomeni!

Posted on: April 23, 2014April 23, 2014 - Rungwe Jr.
Post Tags: akili, hospitali, magomeni, mgonjwa, wagonjwa
Mgonjwa wa Akili Aamua Kujenga Makazi Yake Nje ya Hospitali ya Magomeni!

Tatizo sio tu kwamba Mgonjwa huyo ameamua kujenga nyumba yake nje ya hospitali na Mamlaka husika kumuacha apete, bali pia nyumba yenyewe kama inavyoonekana kwenye…

Continue Reading....

Mafuriko Ya Dar Yaleta Neema Kwa Baadhi ya Wakazi Wake!

Posted on: April 23, 2014April 23, 2014 - Rungwe Jr.
Post Tags: Dar, mafuriko, neema, wakazi
Mafuriko Ya Dar Yaleta Neema Kwa Baadhi ya Wakazi Wake!

Thehabari leo ilivinjari maeneo ya Mto Mzinga, eneo la kwa Mpalange, Manispaa ya Temeke, na kushuhudia biashara ya kuvusha watu ikiendelea kutoka upande mmoja wa…

Continue Reading....

Posts navigation

Older posts
Newer posts
thehabari