Skip to content
Habari  | Michezo | Mahusiano | Blog Tanzania
  • Habari
    • Habari za Kimataifa
    • Habari za Uchunguzi
    • Habari za biashara
    • Habari za Vijijini
  • Matukio Katika Picha
  • Burudani
  • Uchambuzi
  • Michezo
    • Matokeo Ya Ligi Kuu Ya Uingereza (English Premier League)
  • Home
  • Rungwe Jr.
  • Page 46

Author: Rungwe Jr.

Hashim Rungwe Jr., ni Muhitimu wa Sayansi ya Siasa(Political Science) kutoka Chuo cha Santa Barbara, jijini California. Amekuwa miongoni mwa waasisi wa Jumuiya ya Wanafunzi wa Kitanzania jijini St. Petersburg, nchini Urusi, na kuongoza Jumuiya hiyo kama Katibu Mkuu na baadae Makamu Mwenyekiti (2002 - 2005). Amekuwa msaidizi wa masuala ya kiufundi katika kampeni ya Mh. Josh Lynn katika uchaguzi wa mwanasheria mkuu wa kitongoji cha Santa Barbara mwaka 2009. kwa sasa ni muasisi mshiriki, na Mhariri Mkuu Kiongozi wa dev.kisakuzi.com, USA. Unaweza kumuandikia kupitia rungwe@dev.kisakuzi.com

Yaliyojiri katika mechi kati ya Bunge na PSPF huko Dodoma!

Posted on: July 19, 2011 - Rungwe Jr.
Yaliyojiri katika mechi kati ya Bunge na PSPF huko Dodoma!

Wachezaji wa timu ya mpira wa miguu ya Mfuko wa Pensheni kwa Watumishi wa Umma (PSPF) wakipata maelekezo ya mwisho kutoka kwa kocha wao katika…

Continue Reading....

Happy Birthday Mzee Mandela!

Posted on: July 18, 2011July 18, 2011 - Rungwe Jr.
Happy Birthday Mzee Mandela!

Mzee Mandela leo tarehe 18/7/2011, ametimiza miaka 93 ya uhai wake! dev.kisakuzi.com inamtakia afya tele na maisha marefu zaidi mzee wetu huyu.

Continue Reading....

Rais Kikwete aelekea Afrika ya Kusini kwa ziara ya kidola!

Posted on: July 18, 2011July 18, 2011 - Rungwe Jr.
Rais Kikwete aelekea Afrika ya Kusini kwa ziara ya kidola!

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mheshimiwa Jakaya Mrisho Kikwete leo, Jumatatu, Julai 18, 2011, anaanza Ziara ya kihistoria ya Kidola (State Visit) katika…

Continue Reading....

Wabunge nao watembelea maonyesho ya Wizara ya Nishati na Madini Dodoma!

Posted on: July 18, 2011 - Rungwe Jr.
Wabunge nao watembelea maonyesho ya Wizara ya Nishati na Madini Dodoma!

Naibu Spika wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Job Ndugai (CCM) akipata maelezo kutoka kwa mtaalamu wa mradi wa Biofueli Bi. Ester…

Continue Reading....

Mh. Pinda alivyotembelea maonyesho ya Wizara ya Nishati na Madini Bungeni Dodoma

Posted on: July 17, 2011July 17, 2011 - Rungwe Jr.
Mh. Pinda alivyotembelea maonyesho ya Wizara ya Nishati na Madini Bungeni Dodoma

  Waziri Mkuu, Mizengo Pinda akipata  maelezo kutoka kwa Fundi Sanifu Bi Jemina Sadatale kutoka Mradi wa Umeme Jua wa KKKT Mpwapwa unaofadhiliwa na Wakala…

Continue Reading....

‘Kujivua gamba’ kwa Rostam, CCM waonyesha usikivu!

Posted on: July 17, 2011July 18, 2011 - Rungwe Jr.
‘Kujivua gamba’ kwa Rostam, CCM waonyesha usikivu!

Na Rungwe Jr. Ndugu zangu, Juma hili Mh. Rostam Aziz hatimaye ‘amejivua gamba’. Kama tulivyosikia na kusoma hotuba ya Mh. Aziz mwenyewe wakati anawaaga wana Igunga, haukuwa…

Continue Reading....

Posts navigation

Older posts
Newer posts
thehabari