Skip to content
Habari  | Michezo | Mahusiano | Blog Tanzania
  • Habari
    • Habari za Kimataifa
    • Habari za Uchunguzi
    • Habari za biashara
    • Habari za Vijijini
  • Matukio Katika Picha
  • Burudani
  • Uchambuzi
  • Michezo
    • Matokeo Ya Ligi Kuu Ya Uingereza (English Premier League)
  • Home
  • Rungwe Jr.
  • Page 14

Author: Rungwe Jr.

Hashim Rungwe Jr., ni Muhitimu wa Sayansi ya Siasa(Political Science) kutoka Chuo cha Santa Barbara, jijini California. Amekuwa miongoni mwa waasisi wa Jumuiya ya Wanafunzi wa Kitanzania jijini St. Petersburg, nchini Urusi, na kuongoza Jumuiya hiyo kama Katibu Mkuu na baadae Makamu Mwenyekiti (2002 - 2005). Amekuwa msaidizi wa masuala ya kiufundi katika kampeni ya Mh. Josh Lynn katika uchaguzi wa mwanasheria mkuu wa kitongoji cha Santa Barbara mwaka 2009. kwa sasa ni muasisi mshiriki, na Mhariri Mkuu Kiongozi wa dev.kisakuzi.com, USA. Unaweza kumuandikia kupitia rungwe@dev.kisakuzi.com

Rais Kikwete akabidhiwa jezi maalum ya FC Barcelona

Posted on: August 14, 2013August 14, 2013 - Rungwe Jr.
Rais Kikwete akabidhiwa jezi maalum ya FC Barcelona

Mkurugenzi wa Masoko wa Kampuni ya Bia Tanzania (TBL), Bi. Kushilla Thomas akimkabidhi Rais Jakaya Kikwete jezi iliyosainiwa na wachezaji wote wa timu ya FC…

Continue Reading....

Picha zaidi za Tamasha la Waafrika, Ujerumani!

Posted on: August 12, 2013August 12, 2013 - Rungwe Jr.
Picha zaidi za Tamasha la Waafrika, Ujerumani!

Lile Tamasha kubwa la Waafrika lilofanyika mjini Tuebingen, Ujerumani lilifikia tamati jana siku ya Jumapili tarehe 11. Tamasha hilo lilianza tokea tahere 8 mwezi huu…

Continue Reading....

Baadhi ya Majengo ya “Zamani” Jijini Dar yabomolewa!

Posted on: August 11, 2013August 11, 2013 - Rungwe Jr.
Baadhi ya Majengo ya “Zamani” Jijini Dar yabomolewa!

Picha hii inaonyesha baadhi ya majengo Mtaa wa Samora yakibomolewa, ili kujenga mapya. Wenzetu nchi zilizoendelea wanayatunza na kuyaenzi majengo yao kama haya, kwani si…

Continue Reading....

Ngoma Afrika Band yamwaga radhi tamasha la Waafrika Ujerumani!

Posted on: August 10, 2013August 10, 2013 - Rungwe Jr.
Ngoma Afrika Band yamwaga radhi tamasha la Waafrika Ujerumani!

Baadhi ya mashabiki wakiume wakiwa wamevamia jukwaa na kuburudika pamoja na Ngoma Afrika Band (Band ya Watanzania), ambayo ilikuwepo katika tamasha hilo kutumbuiza, ambapo ilikuwa…

Continue Reading....

Tamasha la Waafrika Ujerumani lafana!

Posted on: August 10, 2013 - Rungwe Jr.

Picha zaidi za matumbuizo mbalimbali kutoka Bendi tofauti, ikiwemo Ngoma Africa Band kutoka Tanzania zitawajia punde.

Continue Reading....

Kikwete Alia na majambazi

Posted on: July 26, 2013 - Rungwe Jr.
Kikwete Alia na majambazi

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mheshimiwa Jakaya Mrisho ameamuru majambazi na wahamiaji haramu wote katika mikoa mitatu nchini kujisalimisha katika muda wa siku…

Continue Reading....

Posts navigation

Older posts
Newer posts
thehabari