TAARIFA kutoka Liberia zinasema kuwa kituo kilichotengwa na kuwekewa karantini kwa sababu ya ebola, kimeshambuliwa na zana kuibiwa mjini Monrovia. Baadhi ya ripoti zinasema wagonjwa…
Continue Reading....Author: jomushi
Gari Lililobeba Maiti Kumi Laua Wawili Mikese
GARI la Hospitali ya Taifa ya Muhimbili (MNH), lililokuwa likisafirisha maiti 10 za watu kwenda katika Hospitali ya Mtakatifu Francis Ifakara, wilayani Kilombero, limewagonga watu…
Continue Reading....Msichana wa Kitanzania Ashinda Insha ya SADC
* SADC yaishukuru Tanzania kwa Ukombozi MSICHANA Neema Steven Mtwanga, 16 ameibuka kinara katika Mashindano ya Utunzi wa Insha katika nchi wanachama wa Jumuia ya…
Continue Reading....Zimbabwe Yamtuza Mtanzania, Ni Brigedia Jenerali Mbita
ZIMBABWE imemtunukia Mtanzania, Katibu Mtendaji wa zamani wa Kamati ya Ukombozi ya Afrika, Brigedia Jenerali Hashim Mbita, Tuzo ya juu kabisa ambayo hutolewa na Taifa…
Continue Reading....Wasanii wa Kilimanjaro Music Tour Wamfariji Afande Sele
Baadhi ya Wasanii waliokuwa kwenye onesho la Kilimanjaro Music Tour lililofanyika mkoani Dodoma jana, leo walipitia nyumbani kwa Mfalme wa Rhymes a.k.a Simba Mzee…
Continue Reading....Serikali Kuwanoa Watendaji Halmashauri Usimamizi wa Fedha
Na Eleuteri Mangi – Maelezo SERIKALI itaendelea kutoa mafunzo kwa watendaji wa Halmashauri na Mikoa juu ya usimamizi wa fedha, manunuzi na takwimu katika masuala…
Continue Reading....