Skip to content
Habari  | Michezo | Mahusiano | Blog Tanzania
  • Habari
    • Habari za Kimataifa
    • Habari za Uchunguzi
    • Habari za biashara
    • Habari za Vijijini
  • Matukio Katika Picha
  • Burudani
  • Uchambuzi
  • Michezo
    • Matokeo Ya Ligi Kuu Ya Uingereza (English Premier League)
  • Home
  • jomushi
  • Page 726

Author: jomushi

Mapya Yaibuka Ugonjwa wa Ebola

Posted on: September 22, 2014 - jomushi
Post Tags: Mapya, Ugonjwa wa Ebola
Mapya Yaibuka Ugonjwa wa Ebola

SIERRA Leone imesema kuwa imegundua visa vipya 130 vya maambukizi ya Ebola katika siku tatu ambapo Serikali iliweka amri ya kutotoka nje ikiwa ni hatua…

Continue Reading....

Wasanii wa Bongo Fleva Waosha Magari Kusaidia Jamii

Posted on: September 21, 2014 - jomushi
Post Tags: Bongo fleva, waosha magari, wasanii
Wasanii wa Bongo Fleva Waosha Magari Kusaidia Jamii

Continue Reading....

Rasimu ya Katiba Iliyopendekezwa Kuwasilishwa Bungeni Sept 24

Posted on: September 21, 2014 - jomushi
Post Tags: Bungeni Sept 24, Rasimu ya Katiba
Rasimu ya Katiba Iliyopendekezwa Kuwasilishwa Bungeni Sept 24

Na Benedict Liwenga na Magreth Kinabo RASIMU ya Katiba Mpya iliyopendekezwa inatarajiwa kuwasilishwa katika Bunge Maalum la Katiba Septemba 24, mwaka huu. Mabadiliko hayo yametangazwa na Katibu wa…

Continue Reading....

Waziri Mkuu Pinda Asema Mchakato wa Katiba ni Halali na Upo Kisheria

Posted on: September 21, 2014 - jomushi
Post Tags: Mchakato wa Katiba, Waziri Mkuu Pinda
Waziri Mkuu Pinda Asema Mchakato wa Katiba ni Halali na Upo Kisheria

WAZIRI Mkuu Mizengo Pinda amesema mchakato wa Bunge la Katiba unaoendelea hivi sasa ni halali na kwamba mchakato huo ni wa kisheria. Ametoa kauli hiyo…

Continue Reading....

Serikali Haiwezi Kutaifisha Shule, Hospitali na Vyuo vya Dini

Posted on: September 21, 2014 - jomushi
Post Tags: Hospitali na Vyuo, Kutaifisha Shule
Serikali Haiwezi Kutaifisha Shule, Hospitali na Vyuo vya Dini

  WAZIRI Mkuu Mizengo Pinda amesema Serikali haitataifisha shule, zahanati, hospitali wala Vyuo Vikuu vinavyoendeshwa na taasisi za kidini na amewahimiza wajenge zaidi na zaidi…

Continue Reading....

Elimu ya awali yaendeshwa bila vitabu Tunduru

Posted on: September 21, 2014 - jomushi
Post Tags: Elimu ya awali, vitabu Tunduru
Elimu ya awali yaendeshwa bila vitabu Tunduru

Na Joachim Mushi, Tunduru SHULE nyingi za msingi zenye madarasa ya awali Wilayani Tunduru zimekuwa zikiendeshwa kwa changamoto mbalimbali ikiwemo ya kutokuwa na vitabu vya…

Continue Reading....

Posts navigation

Older posts
Newer posts
thehabari