Skip to content
Habari  | Michezo | Mahusiano | Blog Tanzania
  • Habari
    • Habari za Kimataifa
    • Habari za Uchunguzi
    • Habari za biashara
    • Habari za Vijijini
  • Matukio Katika Picha
  • Burudani
  • Uchambuzi
  • Michezo
    • Matokeo Ya Ligi Kuu Ya Uingereza (English Premier League)
  • Home
  • jomushi
  • Page 677

Author: jomushi

UN Yasaidia Kuokoa Maisha ya Watoto 3,000 Zanzibar

Posted on: November 1, 2014 - jomushi
Post Tags: UN, Watoto, Zanzibar
UN Yasaidia Kuokoa Maisha ya Watoto 3,000 Zanzibar

Mratibu Mkazi wa mashirika ya Umoja wa Mataifa na mwakilishi wa Shirika la Maendeleo la Umoja wa Mataifa (UNDP) nchini, Alvaro Rodriguez akizungumza na waandishi…

Continue Reading....

JK Atuma Rambirambi Kifo cha Mtangazaji Ben Kiko

Posted on: November 1, 2014 - jomushi
Post Tags: Ben Kiko, Mtangazaji, Rambirambi
JK Atuma Rambirambi Kifo cha Mtangazaji Ben Kiko

RAIS wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dk. Jakaya Kikwete amemtumia Salamu za Rambirambi Waziri wa Habari, Vijana Utamaduni na Michezo, Mheshimiwa Dk. Fenela Mukangara…

Continue Reading....

NMB Yadhamini Wiki ya Uwekezaji Ziwa Tanganyika Sumbawanga

Posted on: November 1, 2014 - jomushi
Post Tags: Maonesho ya SIDO, NMB, Sumbawanga
NMB Yadhamini Wiki ya Uwekezaji Ziwa Tanganyika Sumbawanga

NMB Yadhamini Wiki ya Uwekezaji Ziwa Tanganyika Sumbawanga   NMB imedhamini wiki ya uwekezaji ukanda wa ziwa Tanganyika-Mikoa ya Rukwa, Kigoma na Katavi lenye lengo…

Continue Reading....

Serikali Isikwepe Kulipa Madeni MSD Kuokoa Maisha ya Watanzania

Posted on: November 1, 2014 - jomushi
Post Tags: MSD, serikali, Watanzania
Serikali Isikwepe Kulipa Madeni MSD Kuokoa Maisha ya Watanzania

SIKIKA imesikitishwa na tamko lililotolewa na Waziri wa Afya na Ustawi wa Jamii, kuhusiana na kushindwa kwa vituo vya huduma za afya kununua dawa MSD…

Continue Reading....

Washindi 100 Kuzawadiwa SamSung Gear S, Kifaa cha Galaxy Note 4

Posted on: October 31, 2014 - jomushi
Post Tags: Galaxy Note 4, SamSung Gear S, tanzania
Washindi 100 Kuzawadiwa SamSung Gear S, Kifaa cha Galaxy Note 4

KAMPUNI ya vifaa vya kieletroniki ya Samsung imezindua kampeni ya kuweka oda kwabidhaa yake mpya ya Galaxy Note 4 nchini Tanzania, ikiwa ni sehemu ya…

Continue Reading....

Mambo Yaharibika Bukina faso Jeshi Lapindua Nchi

Posted on: October 30, 2014November 1, 2014 - jomushi
Post Tags: Bukina Faso, Jeshi Lapindua Nchi
Mambo Yaharibika Bukina faso Jeshi Lapindua Nchi

AMIRI Jeshi Mkuu wa Jeshi la Burkina Faso, Jenerali Honore Traore ametangaza kuvunjwa kwa serikali na bunge la nchi. Kiongozi huyo mkuu wa jeshi hata…

Continue Reading....

Posts navigation

Older posts
Newer posts
thehabari