Skip to content
Habari  | Michezo | Mahusiano | Blog Tanzania
  • Habari
    • Habari za Kimataifa
    • Habari za Uchunguzi
    • Habari za biashara
    • Habari za Vijijini
  • Matukio Katika Picha
  • Burudani
  • Uchambuzi
  • Michezo
    • Matokeo Ya Ligi Kuu Ya Uingereza (English Premier League)
  • Home
  • jomushi
  • Page 630

Author: jomushi

Geofrey Mungai Awasaidia Yatima wa Daily Bread Life

Posted on: December 23, 2014 - jomushi
Geofrey Mungai Awasaidia Yatima wa Daily Bread Life

Bi  Sarah Mungai akiwa na mmoja kati ya  watoto yatima wa kituo cha DBL mkimbizi Iringa Bi  sarah Mungai akiwa na Mtoto  aliyetupwa na  mama …

Continue Reading....

Magolikipa Tanzania Wawachapa TASWA FC 3-0

Posted on: December 23, 2014 - jomushi
Post Tags: Magolikipa, tanzania, TASWA FC
Magolikipa Tanzania Wawachapa TASWA FC 3-0

Na Mpalule Shaaban KAMPUNI ya Twiga Cement ya jijini Dar es Salaam, jana imefanikiwa kuzindua rasmi Chama cha Wachezaji wa Nafasi ya Golikipa wanaoshiriki ligi…

Continue Reading....

TTCL Wawapa Misaada Wagonjwa wa Saratani Ocean Road

Posted on: December 23, 2014 - jomushi
Post Tags: Ocean Road Dar, TTCL, wagonjwa wa Saratani
TTCL Wawapa Misaada Wagonjwa wa Saratani Ocean Road

KAMPUNI ya Simu Tanzania (TTCL) leo imetoa msaada wa vyakula na bidhaa mbalimbali kwa Hospitali ya Wagonjwa wa Kansa Ocean Road ya jijini Dar es…

Continue Reading....

Wamachinga Wacharuka, Wavamia Ofisi za Jiji Dar

Posted on: December 23, 2014 - jomushi
Post Tags: Ofisi za Jiji Dar, Polisi, Wamachinga
Wamachinga Wacharuka, Wavamia Ofisi za Jiji Dar

Na Mwandishi Wetu, WAFANYABIASHARA ndogondogo maarufu kama wa machinga leo jijini Dar es Salaam waliandamana hadi katika Ofisi za Jiji la Dar es Salaam zilizopo…

Continue Reading....

Benki ya Posta Yatoa Semina kwa Wafanyabiashara Mbeya

Posted on: December 23, 2014 - jomushi
Post Tags: Mbeya, Semina, TPB, Wafanyabiashara
Benki ya Posta Yatoa Semina kwa Wafanyabiashara Mbeya

BENKI ya Posta Tanzania (TPB) Tawi la Mbeya, imetoa semina kwa Wajasiriamali wa mkoa ikiwa na lengo la kuwaongezea ujuzi kwenye biashara zao. Semina hiyo…

Continue Reading....

Sakata la Escrow; Rais Kikwete Amfukuza Uwaziri Prof Tibaijuka

Posted on: December 23, 2014 - jomushi
Post Tags: Escrow, Prof. Tibaijuka, Rais Kikwete
Sakata la Escrow; Rais Kikwete Amfukuza Uwaziri Prof Tibaijuka

Na Mwandishi Wetu RAIS wa Tanzania, Jakaya Kikwete amemfukuza kazia Waziri wa Ardhi na Maendeleo ya Makazi, Profesa Anna Tibaijuka kwa kukiuka sheria ya maadili…

Continue Reading....

Posts navigation

Older posts
Newer posts
thehabari