Skip to content
Habari  | Michezo | Mahusiano | Blog Tanzania
  • Habari
    • Habari za Kimataifa
    • Habari za Uchunguzi
    • Habari za biashara
    • Habari za Vijijini
  • Matukio Katika Picha
  • Burudani
  • Uchambuzi
  • Michezo
    • Matokeo Ya Ligi Kuu Ya Uingereza (English Premier League)
  • Home
  • jomushi
  • Page 629

Author: jomushi

Wafanyabiashara Mwanza Kukumbwa Magonjwa ya Mlipuko

Posted on: December 25, 2014 - jomushi
Post Tags: Magonjwa Mlipuko, Mwanza, Wafanyabiashara
Wafanyabiashara Mwanza Kukumbwa Magonjwa ya Mlipuko

Na Kibada Kibada – Mwanza WAFANYABIASHARA ya samaki na bidhaa nyingine za maliasili katika soko la Samaki la Mwalo Halmashauri ya Manispaa ya Ilemeala Jijini…

Continue Reading....

Kulwa na Dotto Mwaibale Watembelea Kaburi la Mamayao

Posted on: December 25, 2014 - jomushi
Post Tags: Kulwa na Dotto Mwaibale, wanahabari
Kulwa na Dotto Mwaibale Watembelea Kaburi la Mamayao

Kulwa na Dotto wakiwa wamekaa juu ya kaburi la baba yao mzee Anyitike Mwakwama Mwaibale aliyefariki January 28 mwaka 2007 huku wakilitizama kaburi la mama…

Continue Reading....

Dereva Bodaboda Achomwa Kisu Tumboni

Posted on: December 25, 2014 - jomushi
Post Tags: Dereva Bodaboda, Kisu Tumboni
Dereva Bodaboda Achomwa Kisu Tumboni

MWENDESHA bodaboda John Choma miaka (29) mkazi wa Majengo mapya Halmashauri ya Mji wa Mpanda mkoani Katavi amenusulika kifo baada ya kuchomwa kisu tumboni na…

Continue Reading....

Ololosokwan Wajipanga Kutimiza Ndoto ya Kidijitali

Posted on: December 24, 2014 - jomushi
Post Tags: Kidijitali, Ololosokwan, Wamasai
Ololosokwan Wajipanga Kutimiza Ndoto ya Kidijitali

Mkurugenzi Mkazi wa Shirika la Umoja wa Mataifa linaloshughulikia Elimu, Sayansi na Utamaduni (UNESCO) Tanzania, Zulmira Rodrigues aliposimama kwenye Kijiji cha Ngeresero kwa ajili ya…

Continue Reading....

Mshindi wa Pili Miss Universe Kuiwakilisha Tanzania Kimataifa

Posted on: December 23, 2014 - jomushi
Post Tags: Miss Universe
Mshindi wa Pili Miss Universe Kuiwakilisha Tanzania Kimataifa

KAMATI ya Miss Universe Tanzania imemteua mshindi wa pili wa Miss Universe 2014, Nale Boniface kwenda kuiwakilisha nchi katika mashindano ya kimataifa ya Miss Universe…

Continue Reading....

Mzimu wa Escrow Waendelea Kula Vichwa, Katibu Mkuu Nishati ‘Stop’

Posted on: December 23, 2014December 23, 2014 - jomushi
Mzimu wa Escrow Waendelea Kula Vichwa, Katibu Mkuu Nishati ‘Stop’

KATIBU Mkuu Kiongozi, Balozi Ombeni Yohana Sefue, amemsimamisha kazi kwa muda Ndugu Eliakim Maswi, Katibu Mkuu ya Wizara ya Nishati na Madini, ili kupisha uchunguzi…

Continue Reading....

Posts navigation

Older posts
Newer posts
thehabari