Skip to content
Habari  | Michezo | Mahusiano | Blog Tanzania
  • Habari
    • Habari za Kimataifa
    • Habari za Uchunguzi
    • Habari za biashara
    • Habari za Vijijini
  • Matukio Katika Picha
  • Burudani
  • Uchambuzi
  • Michezo
    • Matokeo Ya Ligi Kuu Ya Uingereza (English Premier League)
  • Home
  • jomushi
  • Page 627

Author: jomushi

Boti Yazama na Kuuwa 36, Askari wa UN Wauwawa Somalia

Posted on: December 26, 2014 - jomushi
Post Tags: Boti Yazama, Congo
Boti Yazama na Kuuwa 36, Askari wa UN Wauwawa Somalia

TAARIFA kutoka Kaskazini Mashariki mwa Jamhuri ya Kidemokrasi ya Congo imeeleza kuwa mashua moja iliyokuwa imebeba bidhaa na abiria imezama na karibu watu 36 wamefariki…

Continue Reading....

Mwigulu Nchemba Kuongoza Tamasha la Upendo wa Mama Dar

Posted on: December 26, 2014 - jomushi
Post Tags: Mwigulu Nchemba, Tamasha la Upendo wa Mama
Mwigulu Nchemba Kuongoza Tamasha la Upendo wa Mama Dar

Na Mwandishi Wetu NAIBU Waziri wa Fedha, Mwigulu Nchemba anatarajiwa kuongoza Tamasha Maalumu la ‘Upendo wa Mama’ linalotarajiwa kufanyika katika Kanisa la Rutheran Mabibo Extenal…

Continue Reading....

Mke Mume Wauwawa Kikatili, Wachunwa Ngozi Bunda

Posted on: December 26, 2014 - jomushi
Post Tags: Mke Wakatwa Mapanga, mume, Wilaya ya Bunda
Mke Mume Wauwawa Kikatili, Wachunwa Ngozi Bunda

MBWANA Joseph Maduhu (70) na mkewe Zawadi Maduhu (60) wote waazi wa kutoa Kijiji cha Macharo, Bunda Mkoani Mara, wameuwawa kikatili baada nyumbani kwao baada…

Continue Reading....

Pacho Mwamba Atiliwa Sumu, Aharibika Vibaya…!

Posted on: December 25, 2014 - jomushi
Post Tags: Anyweshwa Sumu, Pacho Mwamba
Pacho Mwamba Atiliwa Sumu, Aharibika Vibaya…!

MWANAMUZIKI na muugizaji wa filamu nchini Tanzania Pacho Mwamba ameharibika vibaya mwilini baada ya kutiliwa sumu kwenye kinywaji chache hivi karibuni. Taarifa ambazo mtandao wa…

Continue Reading....

Diamond Ampelekea Tuzo Rais Kikwete Ikulu

Posted on: December 25, 2014 - jomushi
Post Tags: diamond, Rais Kikwete, Tuzo
Diamond Ampelekea Tuzo Rais Kikwete Ikulu

Rais Dkt Jakaya Mrisho Kikwete akimkaribisha msanii Naseeb Abdul “Diamond” na  kumpongeza kwa kushinda tuzo tano za muziki za kimataifa mwaka huu, Ikulu jijini Dar es salaam…

Continue Reading....

Ujumbe wa Sikuu Kuu ya Chrismass Toka kwa Anko Kidevu

Posted on: December 25, 2014December 25, 2014 - jomushi
Ujumbe wa Sikuu Kuu ya Chrismass Toka kwa Anko Kidevu

  KESHO ni siku ya Siku Kuu, pasi na shaka hakuna mtu ambaye halijui hilo. Siku Kuu ya Chrismas na mwaka mpya ni siku kuu ambazo hufuatana na…

Continue Reading....

Posts navigation

Older posts
Newer posts
thehabari