KIKOSI cha Taifa Stars Maboresho kitacheza mechi ya kirafiki na timu ya Taifa ya Rwanda itakayofanyika Januari 22 mwaka huu kwenye Uwanja wa CCM Kirumba…
Continue Reading....Author: jomushi
Tunaweza Kujitosheleza kwa Sukari – Zitto Kabwe
LEO siku nzima kamati ya PAC ilikuwa inazungumza na Bodi ya Sukari, Wizara ya Kilimo na Wakulima wa Miwa Wilayani Kilombero. Tanzania huzalisha wastani wa…
Continue Reading....Porojo za Anko Kidevu na Press Card za Maelezo
WASOMAJI na wadau wangu nawasalimu na naimani kuwa Mwenyezi Mungu ametujalia tumeuona mwaka mpya wa 2015 salama salmini. Nawatakia heri na fanaka katika mwaka huu pia na…
Continue Reading....Mfumuko wa Bei Desemba ni Asilimia 4.8
Na Aron Msigwa – MAELEZO. MFUMUKO wa Bei wa Taifa kwa mwezi Desemba 2014 umepungua hadi kufikia asilimia 4.8 kutoka asilimia 5.8 iliyokuwepo mwezi Novemba…
Continue Reading....Kituo cha Walemavu cha Buhangija Chaomba Zahanati…!
Na Mwandishi Wetu, Shinyanga MKUU wa Wilaya ya Shinyanga Anne Rose Nyamubi ameomba jamii ya Watanzania kusaidia kupatikana kwa Zahanati katika Kituo cha kulelea watoto…
Continue Reading....Mada Maugo na Kalama Nyilawila Kuzipiga Machi 8
MABONDIA wenye upinzania mkali Mabondia Mada Maugo pamoja na Kalama Nyilawila wanatarajia kupanda jukwaani kuzipiga ili kumaliza ubishi. Pambano hilo linatarajia kufanyika Machi 8, 2015…
Continue Reading....