MIAKA 20 ya kuwa msaidizi wa Nelson Mandela na kuwa mfano mwema maridhiano ya rangi baada ya miaka mingi ya ubaguzi nchini Afrika Kusini imefutwa…
Continue Reading....Author: jomushi
Majambazi Wavamia Polisi, Wauwa Askari na Kuiba Silaha
MAJAMBAZI wasiojulikana idadi yao usiku wa kuamkia leo wamevamia Kituo cha Polisi Ikwiriri Wilaya ya Rufiji, Mkoa wa Pwani na kuwauwa askari polisi wawili pamoja…
Continue Reading....Kampuni Zilizotoa Huduma kwa Jamii Kutajwa Machi 2015
Na Dotto Mwaibale KAMPUNI mbali mbali zinazotoa huduma kwa jamii zinatarajiwa kutambuliwa na kutolewa tathimini ya uwajibikaji wake machi mwaka huu. Akizungumza Dar…
Continue Reading....Kenya Yaruhusu Magari ya Watalii Tanzania Kuingia Jomo Kenyatta
Na Mwandishi Wetu WAZIRI wa Maliasili na Utalii, Lazaro Nyalandu, amesema Serikali ya Kenya imekubali kuyaruhusu magari ya abiria na watalii kutoka Tanzania, kuingia ndani ya Uwanja…
Continue Reading....Chama cha Majaji Wanawake Chafanya Mkutano Mkuu
Jaji Fredrick Wambali akitoa mada katika mkutano huo. Wanachama wa Chama cha Majaji Wanawake Tanzania (TAWJA), wakiwa kwenye mkutano wao mkuu uliofanyika Dar es Salaam…
Continue Reading....Mkuranga Watakiwa Kuchangia Damu
Na Aron Msigwa – MAELEZO, Mkuranga WANANCHI wilayani Mkuranga wametakiwa kujenga utamaduni wa kuchangia damu kwenye benki ya damu iliyoko katika hospitali ya wilaya hiyo ili…
Continue Reading....