Skip to content
Habari  | Michezo | Mahusiano | Blog Tanzania
  • Habari
    • Habari za Kimataifa
    • Habari za Uchunguzi
    • Habari za biashara
    • Habari za Vijijini
  • Matukio Katika Picha
  • Burudani
  • Uchambuzi
  • Michezo
    • Matokeo Ya Ligi Kuu Ya Uingereza (English Premier League)
  • Home
  • jomushi
  • Page 578

Author: jomushi

Balozi Umoja wa Ulaya Atembelea Skimu ya Kiroka, Morogoro

Posted on: March 13, 2015 - jomushi
Post Tags: Balozi, EU, Morogoro, Skimu Kiroka
Balozi Umoja wa Ulaya Atembelea Skimu ya Kiroka, Morogoro

Msimamizi wa mradi wa FAO kijiji cha Kiroka mkoani Morogoro, Ajuaye Sigalla, akitoa muhtasari wa maendeleo ya mradi FAO unaotekelezwa na wanakikundi wa Umoja wa…

Continue Reading....

Mama Salma Akabidhiwa Tuzo ya Lugina

Posted on: March 12, 2015 - jomushi
Post Tags: Tuzo
Mama Salma Akabidhiwa Tuzo ya Lugina

Continue Reading....

JK Amtumia Salamu za Rambirambi Mkuu wa Mkoa Iringa

Posted on: March 12, 2015 - jomushi
Post Tags: ajali ya basi Iringa
JK Amtumia Salamu za Rambirambi Mkuu wa Mkoa Iringa

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Jakaya Mrisho Kikwete amemtumia salamu za rambirambi Mkuu wa Mkoa wa Iringa, Amina Masenza kufuatia ajali mbaya…

Continue Reading....

Timu Nne Zapanda Daraja la Kwanza FDL

Posted on: March 12, 2015 - jomushi
Timu Nne Zapanda Daraja la Kwanza FDL

KILUVYA, MBAO FC, MJI NJOMBE, MJI MKUU ZAPANDA FDL Timu za Kiluvya United ya Pwani, Mbao FC ya jijini Mwanza, Mji Njombe kutoka mkoa mpya…

Continue Reading....

Japani Yachangia Milioni 160 Shule ya Msingi Kakuni

Posted on: March 11, 2015 - jomushi
Japani Yachangia Milioni 160 Shule ya Msingi Kakuni

Kaimu Balozi wa Japan, Bw. Kazuyoshi Matsunaga akisoma risala fupi mbele ya Waziri Mkuu Mizengo Pinda (kulia) wakati wa hafla fupi ya utiaji saini mkataba…

Continue Reading....

Mkuu wa Wilaya Kinondoni Afanya Ziara ya Kushtukiza Hospitali

Posted on: March 11, 2015 - jomushi
Post Tags: uhaba wa vitanda
Mkuu wa Wilaya Kinondoni Afanya Ziara ya Kushtukiza Hospitali

Mkuu wa wilaya ya Kinondoni Paul Makonda akiongea na Mganga Mkuu wa Hospitali ya Palestina, Dkt. Benedicto Luoga iliyopo Sinza jijini Dar es Salaama mara…

Continue Reading....

Posts navigation

Older posts
Newer posts
thehabari