Skip to content
Habari  | Michezo | Mahusiano | Blog Tanzania
  • Habari
    • Habari za Kimataifa
    • Habari za Uchunguzi
    • Habari za biashara
    • Habari za Vijijini
  • Matukio Katika Picha
  • Burudani
  • Uchambuzi
  • Michezo
    • Matokeo Ya Ligi Kuu Ya Uingereza (English Premier League)
  • Home
  • jomushi
  • Page 435

Author: jomushi

Mo Blog Yaomba Radhi kwa Wasomaji Wake

Posted on: August 11, 2015August 11, 2015 - jomushi
Mo Blog Yaomba Radhi kwa Wasomaji Wake

Wapendwa wasomaji wa Modewjiblog tunashughulikia matatizo ya kifundi yaliyojitokeza tangu jana kwenye ‘server’ kiutaalam inaitwa DDOS unaweza kuperuzi link hii kwa taarifa zaidi https://en.wikipedia.org/wiki/Denial-of-service_attack ambayo…

Continue Reading....

Angalia Picha za Shughuli ya Lowassa Kuchukua Fomu NEC Ilivyosimamisha Dar

Posted on: August 11, 2015 - jomushi
Post Tags: Fomu, Lowassa, NEC
Angalia Picha za Shughuli ya Lowassa Kuchukua Fomu NEC Ilivyosimamisha Dar

MGOMBEA wa Urais wa Jamhuri ya Muungano wa Umoja wa Katiba ya Wananchi (UKAWA) kupitia Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA), Edward Lowassa amechukua fomu…

Continue Reading....

EFM Kuendeleza Tamasha la Muziki Baa kwa Baa

Posted on: August 11, 2015 - jomushi
Post Tags: EFM Radio, muziki
EFM Kuendeleza Tamasha la Muziki Baa kwa Baa

Na Dotto Mwaibale KITUO cha Redio cha EFM kimeamua kuendelea kufanya tamasha la muziki Bar kwa Bar baada ya kumalizika kwa tamasha hilo kwa awamu…

Continue Reading....

Lowassa Aweka Historia Dar, Msafara Wake Haijawahi Tokea

Posted on: August 10, 2015 - jomushi
Post Tags: Chadema, Lowassa, Maandamano UKAWA
Lowassa Aweka Historia Dar, Msafara Wake Haijawahi Tokea

Na Mwandishi Wetu, Dar MSAFARA wa mgombea urais kupitia tiketi ya Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA), Edward Lowassa ambaye pia anaungwa mkono na vyama…

Continue Reading....

Watanzania 7 Wateuliwa Kamati za CAF

Posted on: August 10, 2015August 10, 2015 - jomushi
Watanzania 7 Wateuliwa Kamati za CAF

Kikao cha Kamati ya Utendaji ya Shirikisho la mpira barani Afrika (CAF) kilichokutana mwishoni mwa wiki jijini Cairo nchini Misri, kimewateua watanzania saba kuwa wajumbe…

Continue Reading....

Watumishi wa Serikali Waaswa Matumizi ya Rasilimali Fedha

Posted on: August 10, 2015August 10, 2015 - jomushi
Post Tags: Watumishi
Watumishi wa Serikali Waaswa  Matumizi ya Rasilimali Fedha

Watumishi wa Serikali wameaswa kuwa na nidhamu ya matumizi bora ya rasilimali fedha ili kuleta ufanisi na maendeleo endelevu kwa manufaa ya wananchi wa mkoani…

Continue Reading....

Posts navigation

Older posts
Newer posts
thehabari