Skip to content
Habari  | Michezo | Mahusiano | Blog Tanzania
  • Habari
    • Habari za Kimataifa
    • Habari za Uchunguzi
    • Habari za biashara
    • Habari za Vijijini
  • Matukio Katika Picha
  • Burudani
  • Uchambuzi
  • Michezo
    • Matokeo Ya Ligi Kuu Ya Uingereza (English Premier League)
  • Home
  • jomushi
  • Page 410

Author: jomushi

Taasisi za NHIF na PPF Wamenyana Katika Bonanza la Pamoja

Posted on: September 6, 2015September 6, 2015 - jomushi
Post Tags: Bonanza
Taasisi za NHIF na PPF Wamenyana  Katika Bonanza la Pamoja

 Kipa wa timu ya soka ya Wafanyakazi wa Mfuko wa Pensheni wa PPF, akichupa kuzuia mpira wa penati bila mafanikio wakati timu hiyo ilipomenyana na ile ya…

Continue Reading....

Wakenya Wafanya Tamasha Maalum Kujitangaza London

Posted on: September 6, 2015September 6, 2015 - jomushi
Wakenya Wafanya Tamasha Maalum Kujitangaza London

Baada ya mwezi mzima wa kelele, vifijo, chereko-chereko, hatimaye siku mahsusi ya burudani na biashara itawadia ilikuwa ni Jumamosi 29 Agosti, 2015. Huu ni wakati…

Continue Reading....

Jimbo la Ilala Watenga Mil 300 Kukopesha Wajasiliamali

Posted on: September 6, 2015September 6, 2015 - jomushi
Jimbo la Ilala Watenga Mil 300 Kukopesha Wajasiliamali

MGOMBEA Ubunge Jimbo la Ilala, Mussa Hassan Zungu amemweleza mgombea mwenza nafasi ya urais Chama Cha Mapinduzi (CCM), Bi. Samia Suluhu kuwa jimbo hilo limetenga kiasi…

Continue Reading....

Matukio Mbalimbali Mgombea Mwenza UKAWA

Posted on: September 5, 2015October 21, 2015 - jomushi
Matukio Mbalimbali Mgombea Mwenza UKAWA

    Mgombea Mwenza wa Ukawa Juma Duni Haji akipokea kadi ya CCM kutoka kwa mwanachama wa chama hicho, Kasim Msham aliyekihama na kujiunga na…

Continue Reading....

Mifumo Biashara ya Nishati ya Jotoardhi Inatija

Posted on: September 5, 2015 - jomushi
Mifumo Biashara ya Nishati ya Jotoardhi Inatija

Na Benedict Liwenga-MAELEZO. Mifumo ya kibiashara ya mvuke utokanao na nishati ya jotoardhi ina manufaa kwa Taifa kwani itasaidia kujenga uelewa kuhusu utaratibu unaoweza kutumika…

Continue Reading....

Asasi za Kiraia na Taasisi Binafsi Zatakiwa Kuwa Wazi

Posted on: September 5, 2015September 5, 2015 - jomushi
Post Tags: Asasi za Kiraia
Asasi za Kiraia na Taasisi Binafsi Zatakiwa Kuwa Wazi

Na Beatrice Lyimo, Maelezo RAIS wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dk. Jakaya Kikwete amawaasa Asasi za kiraia na Taasisi binafsi kuwa wazi katika masuala…

Continue Reading....

Posts navigation

Older posts
Newer posts
thehabari