Skip to content
Habari  | Michezo | Mahusiano | Blog Tanzania
  • Habari
    • Habari za Kimataifa
    • Habari za Uchunguzi
    • Habari za biashara
    • Habari za Vijijini
  • Matukio Katika Picha
  • Burudani
  • Uchambuzi
  • Michezo
    • Matokeo Ya Ligi Kuu Ya Uingereza (English Premier League)
  • Home
  • jomushi
  • Page 376

Author: jomushi

Dk. Hoseah Asema Miaka Kumi ya JK Imepambana na Rushwa

Posted on: October 6, 2015 - jomushi

  Mkurugenzi Mkuu wa Takukuru nchini, Dkt. Edward Hoseah akizungumza katika sherehe za uzinduzi wa jengo la ofisi mpya ya TAKUKURU Mkoa wa Mbeya ambapo…

Continue Reading....

KENYATTA – Isingekuwa Kikwete Historia ya Kenya Ingekuwa Tofauti.

Posted on: October 6, 2015 - jomushi

Rais Uhuru Kenyatta wa Kenya amemshukuru Rais Jakaya Mrisho Kikwete kwa juhudi na busara zake wakati nchi hiyo ilipoingia kwenye machafuko ya kisiasa mwaka 2007.…

Continue Reading....

Edward Lowassa Atuwa na Chopa Monduli, Ajinadi…!

Posted on: October 5, 2015October 6, 2015 - jomushi
Post Tags: Kampeni Chadema
Edward Lowassa Atuwa na Chopa Monduli, Ajinadi…!

 Umati wa Wananchi wa Mji wa Monduli ambako ni Nyumbani kwa Mgombea Urais wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) kupitia mwamvuli wa UKAWA, Edward…

Continue Reading....

Dk John Magufuli Ammwagia Sifa Dk Wilbrod Slaa Karatu

Posted on: October 5, 2015October 6, 2015 - jomushi

Mgombea Urais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dk John Pombe Magufuli akiwaambia wananchi wa Karatu katika mkutano wa kampeni uliofanyika katika uwanja wa Bwawani,…

Continue Reading....

Kifo cha Christopher Mtikila Chahairisha Baraza la Vyama vya Siasa

Posted on: October 5, 2015October 6, 2015 - jomushi
Post Tags: Vyama vya Siasa

 Mwenyekiti wa Baraza la Vyama vya Siasa Nchini, Peter Mziray (katikati), akizungumza katika mkutano na waandishi wa habari Dar es Salaam leo asubuhi, kuhusu kuahirishwa…

Continue Reading....

JK Kenya, Atoa Heshima Kwenye Kaburi la Baba wa Taifa la Kenya

Posted on: October 5, 2015October 6, 2015 - jomushi
Post Tags: Kenya, Rais Kikwete

 Rais Jakaya Mrisho Kikwete akilakiwa na mwenyeji wake Rais Uhuru Kenyatta wa Kenya katika Ikulu ya nchi hiyo jijini Nairobi Jumatatu October 5, 2015 alipokwenda…

Continue Reading....

Posts navigation

Older posts
Newer posts
thehabari