Skip to content
Habari  | Michezo | Mahusiano | Blog Tanzania
  • Habari
    • Habari za Kimataifa
    • Habari za Uchunguzi
    • Habari za biashara
    • Habari za Vijijini
  • Matukio Katika Picha
  • Burudani
  • Uchambuzi
  • Michezo
    • Matokeo Ya Ligi Kuu Ya Uingereza (English Premier League)
  • Home
  • jomushi
  • Page 358

Author: jomushi

CCM Yapinga Matokeo, Lowassa Ataka NEC Kusitisha Matokeo

Posted on: October 29, 2015 - jomushi

Na Mwandishi Wetu CHAMA Cha Mapinduzi (CCM) kimesema hakijaridhishwa na utaratibu wa kukusanya na kujumlisha matokeo kwenye baadhi ya majimbo. Imesema katika majimbo manne kumekuwa…

Continue Reading....

Tume ya Uchaguzi Zanzibar Yafuta Uchaguzi Mkuu, NEC Yajiengua…!

Posted on: October 29, 2015October 29, 2015 - jomushi

Na Mwandishi Wetu *Lowassa Agomea Matokeo ya Urais NEC… TUME ya Uchaguzi ya Zanzibar (ZEC) imefuta matokeo yote ya Uchaguzi Mkuu uliofanyika Oktoba 25 mjini…

Continue Reading....

Tanzia; Msiba wa Mama Judith Tarimo wa Ukonga

Posted on: October 28, 2015 - jomushi

Familia ya Marehemu Cyprian Tarimo ya Ukonga, Mombasa Dar es Salaam inasikitika kutangaza kifo cha mama yao mpendwa Mama Judith Tarimo kilichotokea Oktoba 25,2015 katika…

Continue Reading....

Waliokamatwa kwa Tuhuma za Kusambaza Matokeo ya Urais Mahakamani

Posted on: October 28, 2015 - jomushi

Mwenyekiti wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), Freeman Mbowe (katikati), akizungumza na mmoja kati ya vijana nane waliofikishwa Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu Dar…

Continue Reading....

Breaking Newz; Halima Mdee Atangazwa Mshindi Jimbo la Kawe

Posted on: October 27, 2015October 27, 2015 - jomushi
Breaking Newz; Halima Mdee Atangazwa Mshindi Jimbo la Kawe

ALIYEKUWA mgombea wa Ubunge Jimbo la Ubungo Halima James Mdee ametangazwa kuwa ndiye Mbunge mteule wa Jimbo hilo baada ya Kumshinda mgombea wa CCM, Kipi…

Continue Reading....

Angalia Matokeo ya Urais Yanayotangazwa na NEC Kama Yalivyotufikia…!

Posted on: October 27, 2015 - jomushi

Continue Reading....

Posts navigation

Older posts
Newer posts
thehabari