Skip to content
Habari  | Michezo | Mahusiano | Blog Tanzania
  • Habari
    • Habari za Kimataifa
    • Habari za Uchunguzi
    • Habari za biashara
    • Habari za Vijijini
  • Matukio Katika Picha
  • Burudani
  • Uchambuzi
  • Michezo
    • Matokeo Ya Ligi Kuu Ya Uingereza (English Premier League)
  • Home
  • jomushi
  • Page 2,247

Author: jomushi

Vurugu za wamachinga na polisi mjini Mwanza

Posted on: July 7, 2011July 7, 2011 - jomushi
Vurugu za wamachinga na polisi mjini Mwanza

Askari wa Kutuliza Ghasia (FFU mjini Mwanza wakiwa kwenye harakati za kuwatuliza wamachinga katika mapambano na Polisi. gari hili liliteketezwa kwa moto na wamachinga waliokuwa…

Continue Reading....

PPAT yalaani vitendo vya kupigwa kwa wanahabari

Posted on: July 7, 2011 - jomushi
PPAT yalaani vitendo vya kupigwa kwa wanahabari

TAMKO LA PPAT KULAANI KUSHAMBULIWA KWA MPIGAPICHA HERI SHABANI WA GAZETI LA MAJIRA NA MWANDISHI CHRISTOPHER LISA WA SANI Chama cha Wapigapicha za Habari Tanzania…

Continue Reading....

Irente yaiomba Serikali kuchapisha vitabu kwa wenye uono afifu

Posted on: July 7, 2011 - jomushi
Irente yaiomba Serikali kuchapisha vitabu kwa wenye uono afifu

JOACHIM MUSHI Lushoto SHULE ya msingi ya wanafunzi wasioona ya Irente mjini Lushoto imeitaka wizara ya Elimu na Mafunzo ya Ufundi kuanza kuchapisha vitabu maalum…

Continue Reading....

Chadema ‘kumshtaki’ Chenge kwa wananchi

Posted on: July 7, 2011 - jomushi
Chadema ‘kumshtaki’ Chenge kwa wananchi

Andrew Chenge (MB) Na Mwandishi wa Thehabari, Dodoma MBUNGE wa Singida Mashariki, Tindu Lissu (CHADEMA), amesema Serikali isipomfikisha Mahakamani aliyekuwa, Mwanasheria Mkuu wa Serikali, Andrew…

Continue Reading....

JK ndani ya banda la Twiga Bancorp Saba Saba

Posted on: July 7, 2011July 7, 2011 - jomushi
JK ndani ya banda la Twiga Bancorp Saba Saba

Continue Reading....

Serikali kugharamia utafiti juu ya kinga ya Ukimwi

Posted on: July 7, 2011 - jomushi
Serikali kugharamia utafiti juu ya kinga ya Ukimwi

Na Joachim Mushi RAIS Jakaya Kikwete amesema Serikali ipo tayari kufadhili utafiti wa kinga ya Virusi vya Ugonjwa wa Ukimwi (VVU), inayoendeshwa na Chuo Kikuu…

Continue Reading....

Posts navigation

Older posts
Newer posts
thehabari