Skip to content
Habari  | Michezo | Mahusiano | Blog Tanzania
  • Habari
    • Habari za Kimataifa
    • Habari za Uchunguzi
    • Habari za biashara
    • Habari za Vijijini
  • Matukio Katika Picha
  • Burudani
  • Uchambuzi
  • Michezo
    • Matokeo Ya Ligi Kuu Ya Uingereza (English Premier League)
  • Home
  • jomushi
  • Page 2,245

Author: jomushi

TAKUKURU wamnasa Kamanda feki wa TAKUKURU Igunga

Posted on: July 9, 2011 - jomushi
TAKUKURU wamnasa Kamanda feki wa TAKUKURU Igunga

Igunga KAMANDA feki wa Tasisi ya Kuzuia na Kupambana na Rushwa (TAKUKURU) Stanley Kimaro ametiwa mbaroni na maofisa wa TAKUKURU mjini Igunga baada ya jamaa…

Continue Reading....

Mganga anyofoa sehemu za siri za mteja wake na kutoweka

Posted on: July 8, 2011July 9, 2011 - jomushi
Mganga anyofoa sehemu za siri za mteja wake na kutoweka

Na Mwandishi Wetu, Urambo MWANAMKE mmoja (66) mkazi wa Kijiji cha Mwendakulima Wilaya ya Urambo mkoani Tabora amefariki dunia baada ya mganga wa kienyeji kumnyofoa…

Continue Reading....

Waziri Sitta amjibu Mbowe

Posted on: July 8, 2011 - jomushi
Waziri Sitta amjibu Mbowe

Dodoma WAZIRI wa Ushirikiano wa Afrika Mashariki ambaye pia ni Kaimu Kiongozi wa shughuli za Bunge, Samuel Sitta amesema, hamshangai Kiongozi wa Kambi ya Upinzani…

Continue Reading....

PINDA AWAALIKA WAWEKEZAJI WA GESI ASILIA KUTOKA NJE

Posted on: July 8, 2011 - jomushi
PINDA AWAALIKA WAWEKEZAJI WA GESI ASILIA KUTOKA NJE

WAZIRI Mkuu, Mizengo Pinda amesema umefika wakati kwa wawekezaji wa kimataifa kuangalia uwezekano wa kuwekeza katika miundombinu ya kusafirisha gesi asilia kama njia mojawapo ya…

Continue Reading....

Tigo wamzawadia pikipiki ya mizigo mshindi mwingine

Posted on: July 8, 2011 - jomushi
Tigo wamzawadia pikipiki ya mizigo mshindi mwingine

Ofisa Uhusiano wa Tigo, Jackson Mmbando (kushoto) akizungumza na mshindi wa pili wa droo ya pikipiki ya magurudumu matatu kwa njia ya simu alipokuwa akichezesha…

Continue Reading....

Ziara ya Waziri Kabaka ndani ya mabanda ya Wizara ya Fedha

Posted on: July 8, 2011July 8, 2011 - jomushi
Ziara ya Waziri Kabaka ndani ya mabanda ya Wizara ya Fedha

Waziri wa Kazi na Ajira, Gaudensia Kabaka akisaini kitabu cha wageni mara baada ya kuingia kwenye Banda la Wizara ya fedha kutembelea idara mbalimbali zilizo…

Continue Reading....

Posts navigation

Older posts
Newer posts
thehabari