Skip to content
Habari  | Michezo | Mahusiano | Blog Tanzania
  • Habari
    • Habari za Kimataifa
    • Habari za Uchunguzi
    • Habari za biashara
    • Habari za Vijijini
  • Matukio Katika Picha
  • Burudani
  • Uchambuzi
  • Michezo
    • Matokeo Ya Ligi Kuu Ya Uingereza (English Premier League)
  • Home
  • jomushi
  • Page 2,235

Author: jomushi

Pinda asema taarifa za Jairo kujiuzulu ni uzushi

Posted on: July 21, 2011 - jomushi
Pinda asema taarifa za Jairo kujiuzulu ni uzushi

David Jairo, Katibu Mkuu wa Wizara ya Nishati na Madini Dodoma, TAARIFA zilizotolewa jana na gazeti moja la kila siku kuwa Katibu Mkuu Wizara ya…

Continue Reading....

Waziri Mkuu awataka wabunge kuchangamkia maabara

Posted on: July 21, 2011 - jomushi
Waziri Mkuu awataka wabunge kuchangamkia maabara

WAZIRI Mkuu, Mizengo Pinda amesema wakati Serikali inajipanga kutekeleza mpango wa kuimarisha masomo ya sayansi shuleni, meza ya maabara inayohamishika inaweza kutumika kupunguza tatizo la…

Continue Reading....

Basi la Hood lapata ajali Mikumi, 10 wahofiwa kufa

Posted on: July 20, 2011July 20, 2011 - jomushi
Basi la Hood lapata ajali Mikumi, 10 wahofiwa kufa

WATU 10 wanahofiwa kupoteza maisha huku 34 kujeruhiwa baada ya basi la Kampuni ya Hood namba T.762 AVL aina ya Scania kuteketea kwa moto. Kaimu…

Continue Reading....

Azam FC kukipiga na Coast Union Tanga

Posted on: July 20, 2011 - jomushi
Azam FC kukipiga na Coast Union Tanga

Nembo ya Azam FC Na Jaffer Idd TIMU ya Azam FC Ijumaa inatarajia kwenda Tanga kwa mchezo wa kirafiki dhidi ya timu ya mpya katika…

Continue Reading....

Miss utalii Tanzania 2011/12 kuzinduliwa Dodoma

Posted on: July 20, 2011 - jomushi
Miss utalii Tanzania 2011/12 kuzinduliwa Dodoma

Mhifadhi katika Hifadhi ya Tarangire, Beatrice Kessy (kulia) akifafanua jambo kwa washiriki Miss Utalii Tanzania 2011, katika ziara yao. BAADA ya kukamilisha uundaji mfumo mpya…

Continue Reading....

Chadema yasema vyama vyote vinafanya siasa vyuoni

Posted on: July 20, 2011 - jomushi
Chadema yasema vyama vyote vinafanya siasa vyuoni

Dodoma, MBUNGE wa Mbeya Mjini, Joseph Mbilinyi (CHADEMA), amesema siasa vyuoni hazitakoma, endapo Serikali itashindwa kuwatimizia wanafunzi haki zao. Alisema kila chama kinafanya siasa vyuoni…

Continue Reading....

Posts navigation

Older posts
Newer posts
thehabari