Skip to content
Habari  | Michezo | Mahusiano | Blog Tanzania
  • Habari
    • Habari za Kimataifa
    • Habari za Uchunguzi
    • Habari za biashara
    • Habari za Vijijini
  • Matukio Katika Picha
  • Burudani
  • Uchambuzi
  • Michezo
    • Matokeo Ya Ligi Kuu Ya Uingereza (English Premier League)
  • Home
  • jomushi
  • Page 14

Author: jomushi

TGGA YAWAAGA GIRL GUIDES WA RWANDA, UGANDA NA MADAGASCAR

Posted on: July 21, 2017 - jomushi
TGGA YAWAAGA GIRL GUIDES WA RWANDA, UGANDA NA MADAGASCAR

  Mwenyekiti wa Bodi ya Wadhamini ya Chama cha Tanzania Girl Guides (TGGA), Anna Makinda akimkabidhi  zawadi Girl Guides kutoka Uganda, Rachel Baganyire wakati wa…

Continue Reading....

Tigo Yakabidhi Darasa Shule ya Msingi Hachwi Wilayani Kondoa

Posted on: July 21, 2017 - jomushi
Tigo Yakabidhi Darasa Shule ya Msingi Hachwi Wilayani Kondoa

  Mkuu wa Wilaya ya Kondoa Sezaria Makutta akikata utepe kuashiria kupokea darasa lenye thamani ya shilingi milioni 8.5 lililojengwa na kampuni ya Tigo kwa shule ya…

Continue Reading....

‘Happy Birthday’ Mwanalibeneke Krantz Mwantepele

Posted on: July 20, 2017 - jomushi
‘Happy Birthday’ Mwanalibeneke Krantz Mwantepele

  Tarehe 19 July Mwanalibeneke la blogu Krantz Mwantepele ambaye ni Mkurungezi Mtendaji  wa KONCEPT , Mkurungezi Mtendaji wa ROGECH ANIMATIONS & VFX na pia Katibu…

Continue Reading....

RC SHINYANGA AKUTANA NA WAFANYABIASHARA MKOA WA SHINYANGA

Posted on: July 20, 2017 - jomushi
RC SHINYANGA AKUTANA NA WAFANYABIASHARA MKOA WA SHINYANGA

    Alhamis Julai 20,2017 Mkuu wa mkoa wa Shinyanga Zainab Telack amekutana na wawekezaji na wafanyabiashara wa mkoa wa Shinyanga kwa lengo la kufahamiana…

Continue Reading....

TANZANIA YA UCHUMI WA VIWANDA ITAFANIKIWA KWA KILIMO CHA KITAFITI

Posted on: July 20, 2017 - jomushi
TANZANIA YA UCHUMI WA VIWANDA ITAFANIKIWA KWA KILIMO CHA KITAFITI

  Mkuu wa Wilaya ya Nzega mkoani Tabora, Geofrey Ngupula akizungumza na maofisa ugani na waandishi wa habari ofisini kwake.   Kaimu Mkurugenzi wa wilaya…

Continue Reading....

UVCCM Yaonya, Waliohamia Upinzani Waache Kugombanisha Wastaafu

Posted on: July 20, 2017 - jomushi
UVCCM Yaonya, Waliohamia Upinzani Waache Kugombanisha Wastaafu

Na Mwandishi Wetu, Kigoma UMOJA wa Vijana wa Chama cha Mapinduzi (UVCCM) umewakanya wanasiasa waliohamia upinzani toka CCM wanaoeneza maneno ya chuki na mifarakano kwa lengo…

Continue Reading....

Posts navigation

Older posts
Newer posts
thehabari