JORGE Mario Bergoglio kutoka Argentina ndiye Baba Mtakatifu mpya atakayeliongoza kanisa katoliki baada ya kujulishwa hapo jana usiku kwa ulimwengu. Kuanzia sasa anafahamika kama Baba…
Continue Reading....Author: jomushi
Washiriki Miss Utalii 2012/13 Watembelea Chuo Kikuu cha Uandishi
WASHIRIKI wa Shindano la Miss Utalii 2012/13 wametakiwa kutumia elimu zao kutangaza utalii wa Tanzania jambo ambalo litakuwa na manufaa kwao na Taifa kwa jumla.…
Continue Reading....Kanisa Katoliki Lapata Papa Mpya, Ni Muagentina
RAIA wa Agentina, Cadinali Jorge Mario Bergoglio (76) amechaguliwa kuwa Kiongozi Mkuu wa Kanisa katoliki Duniani. Papa Mario Bergoglio ametangazwa usiku huu baada ya kumalizika…
Continue Reading....TGNP Yashinda Kesi ya Jengo Mahakama Kuu
MTANDAO wa Jinsia Tanzania (TGNP), walinunua jengo la ofisi hii kutoka kwa Mfilisi wa iliyokuwa Tanzania Sewing Thread Manufacturers Limited (TSTML) yaani Benki ya Rasilimali…
Continue Reading....CCM Yawaalika Wawekezaji wa China Kuja Tanzania
Na Bashir Nkoromo, China KATIBU Mkuu wa Chama CHa Mapinduzi (CCM), Abdulrahman Kinana amekiomba Chama Cha Kikomunisti cha China (CPC) kuhimiza wananchi wa China kuchangamkia…
Continue Reading....