Skip to content
Habari  | Michezo | Mahusiano | Blog Tanzania
  • Habari
    • Habari za Kimataifa
    • Habari za Uchunguzi
    • Habari za biashara
    • Habari za Vijijini
  • Matukio Katika Picha
  • Burudani
  • Uchambuzi
  • Michezo
    • Matokeo Ya Ligi Kuu Ya Uingereza (English Premier League)
  • Home
  • 2013
  • Page 97

Year: 2013

Jamani Hali ni Mbaya Shule za Msingi Kituoni na Kisaki Kata ya Kisaki Morogoro

Posted on: October 14, 2013 - jomushi
Jamani Hali ni Mbaya Shule za Msingi Kituoni na Kisaki Kata ya Kisaki Morogoro

Watoto wa Kike wa Shule ya Msingi Kisaki wakielekea shuleni, bahati mbaya viatu hakuna miguuni kutokana na hali ya umasikini kwenye familia zao. Naona hapa…

Continue Reading....

Matukio Kilele cha Mbio za Mwenge wa Uhuru Viwanja vya Samora, Iringa

Posted on: October 14, 2013 - jomushi

  Rais Jakaya Kikwete akipokea Mwenge wa Uhuru kutoka kwa kiongozi wa mbio za Mwenge wa Uhuru 2013 Bw.Juma Ali Simai leo katika uwanja wa…

Continue Reading....

Ajinyonga Mtini na Maiti Kukutwa Ikining’inia

Posted on: October 14, 2013October 14, 2013 - jomushi

Mtu ambaye jina lake halikufahamika mara moja ukining’inia juu ya mti mara  baada ya kujinyonga usiku wa kuamkia leo mjini Morogoro. Chanzo cha mtu huyu kujinyonga hakijafahamika…

Continue Reading....

Taarifa ya Leo Kutoka Kitengo cha Habari TFF

Posted on: October 14, 2013 - jomushi
Taarifa ya Leo Kutoka Kitengo cha Habari TFF

KAMATI ya Rufani ya Maadili ya Shirikisho la Mpira wa Miguu Tanzania (TFF) imekutana jana (Oktoba 13 mwaka huu) kusikiliza maombi ya mapitio (revision) na…

Continue Reading....

Sense Fundi Aongoza Semina Walimu Ngazi za Juu wa Karate USA

Posted on: October 14, 2013 - jomushi
Sense Fundi Aongoza Semina Walimu Ngazi za Juu wa Karate USA

SENSEI Rumadha Fundi Mtanzania mtaalamu wa mchezo wa karate mwenye mkanda mweusi na dan 3, Oktoba 12 na 13, 2013 aliongoza semina ya mazoezi ya semina…

Continue Reading....

Mwalimu Nyerere Ataendelea Kuwa Baba wa Taifa Milele…!

Posted on: October 14, 2013October 15, 2013 - jomushi
Mwalimu Nyerere Ataendelea Kuwa Baba wa Taifa Milele…!

LEO ni kumbukumbu ya kifo cha Baba wa Taifa, Mwalimu Julias Kambarage Nyerere. Kila ifikapo Oktoba 14 kila mwaka Tanzania inaadhimisha kumbukumbu ya kifo cha…

Continue Reading....

Posts navigation

Older posts
Newer posts
thehabari