WANAJESHI wawili wa Kulinda amani wa Umoja wa Mataifa, wameuawa na wengine sita kujeruhiwa vibaya katika shambulizi la kujitoa mhanga Kaskazini mwa Mali. Raia wa…
Continue Reading....Year: 2013
Uswisi Sasa Kurejesha Mabilioni ya Mafisadi Tanzania
SAKATA la vigogo kuficha mabilioni ya shilingi katika benki za Uswisi, limechukua sura mpya baada ya Serikali ya nchi hiyo kutunga sheria inayowabana walioweka fedha…
Continue Reading....Rambirambi Kutoka Ikulu Kifo cha James Kombe
RAIS wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania na Amiri Jeshi Mkuu wa Majeshi ya Ulinzi na Usalama, Dk. Jakaya Mrisho Kikwete amemtumia Salamu za Rambirambi…
Continue Reading....Mwenyekiti wa CCM na Rais wa Tanzania Kikwete Atua Dodoma
Katibu Mkuu wa CCM, Abdulrahman Kinana akimpokea Mwenyekiti wa CCM, Rais Kikwete baada ya kuwasili mjini Dodoma Mwenyekiti wa CCM, Rais Jakaya Kikwete akimsalimia Makamu…
Continue Reading....Waziri Pinda Ainadi Tanzania Ughaibuni
*Azialika kampuni za Kichina kuja Tanzania WAZIRI Mkuu Mizengo Pinda amewaeleza washiriki wa Maonesho 14 ya Kimataifa ya China Magharibi kuwa Tanzania ni nchi…
Continue Reading....Wakulima wa Kahawa Rombo Watakiwa Kutokata Tamaa
Yohane Gervas, Rombo WAKULIMA wa Kahawa Wilaya ya Rombo wametakiwa kutokata tamaa kulima zao hilo licha ya uwepo wa changamoto kadhaa katika uzalishaji wa zao…
Continue Reading....