Skip to content
Habari  | Michezo | Mahusiano | Blog Tanzania
  • Habari
    • Habari za Kimataifa
    • Habari za Uchunguzi
    • Habari za biashara
    • Habari za Vijijini
  • Matukio Katika Picha
  • Burudani
  • Uchambuzi
  • Michezo
    • Matokeo Ya Ligi Kuu Ya Uingereza (English Premier League)
  • Home
  • 2013
  • Page 471

Year: 2013

Hotuba ya Mbunge John Mnyika Katika Ufunguzi wa Mkutano wa Baraza la Wanawake Chadema (BAWACHA)

Posted on: January 21, 2013 - jomushi
Hotuba ya Mbunge John Mnyika Katika Ufunguzi wa Mkutano wa Baraza la Wanawake Chadema (BAWACHA)

HOTUBA YA JOHN MNYIKA (MB) ALIYOITOA TAREHE 20 JAN, 2013 KATIKA UFUNGUZI WA MKUTANO WA BARAZA LA WANAWAKE WA CHADEMA (BAWACHA) JIMBO LA UBUNGO ULIOFANYIKA…

Continue Reading....

CCM Kufanya Tathmini ya Uchaguzi Wake Mkuu

Posted on: January 21, 2013 - jomushi
CCM Kufanya Tathmini ya Uchaguzi Wake Mkuu

Na Bashir Nkoromo PAMOJA na mambo mengine Chama Cha Mapinduzi (CCM) kimepanga kuzitumia sherehe za miaka 36 ya kuzaliwa kwake, kufanya tathmini ya uchaguzi wake…

Continue Reading....

Kinana wa CCM Azungumza na Mabalozi wa Rwanda na DRC

Posted on: January 21, 2013 - jomushi
Kinana wa CCM Azungumza na Mabalozi wa Rwanda na DRC

Na Mwandishi Wetu KATIBU Mkuu wa CCM, Abdulrahman Kinana leo amekutana na mabalozi wa Rwanda na Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo na kuwa na mazungumzo…

Continue Reading....

Lowassa Aifariji Familia ya Kusaga Msibani

Posted on: January 21, 2013 - jomushi
Lowassa Aifariji Familia ya Kusaga Msibani

Waziri Mkuu Mstaafu na Mbunge wa Jimbo la Monduli, Edward Lowassa jana Jumapili jioni alikuwa ni miongoni mwa waombolezaji waliofika kuaga mwili wa Marehemu Sufiani…

Continue Reading....

Kijue Kipindi cha ‘Mimi na Tanzania’

Posted on: January 21, 2013 - jomushi
Kijue Kipindi cha ‘Mimi na Tanzania’

MIMI na Tanzania‚ ni kipindi kinachohusu masuala yanayoigusa jamii kwa namna moja au nyingine haswa katika siasa, uchumi,michezo,na vikwazo na vimbwangwa vinavyoikumba jamii ya kitanzania.…

Continue Reading....

Kuta za Zege Zaangukia Magari 24 Ubungo, Dar es Salaam

Posted on: January 21, 2013 - jomushi
Kuta za Zege Zaangukia Magari 24 Ubungo, Dar es Salaam

Na Joachim Mushi TAKRIBANI magari 24 ya watu binafsi jijini Dar es Salaam yameangukiwa na ukuta na kuharibika vibaya pamoja na baadhi yao kujeruhiwa. Tukio…

Continue Reading....

Posts navigation

Older posts
Newer posts
thehabari