Mshindi wa droo ya kwanza ya Pambikana Samsung Bw. Ally Abdallah akipokea zawadi ya Microwave toka kwa Meneja wa Samsung kitengo cha Simu na Teknolojia…
Continue Reading....Year: 2013
Meya ‘Chapombe’ Aokoka, Aapa Kutoonja Pombe Tena
MEYA wa Mji wa Toronto nchini Canada, Rob Ford, ambaye awali alikuwa mtu wa matingasi (mlevi) ameamua kuacha ulevi na ‘kuokoka’. Jambo hili limetokea baada…
Continue Reading....Rais Kikwete Azitaka Nchi Tajiri Kutimiza Ahadi Kuhusu Mabadiliko ya Tabia Nchi
RAIS wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Jakaya Mrisho Kikwete amezitaka nchi tajiri na zilizoendelea duniani kutimiza ahadi zao za kutoa fedha kusaidia nchi masikini…
Continue Reading....Ifanyike Tathmini ya Ufuatiliaji wa Takwimu – Serikali
IKIWA ni takribani miaka 20 tangu kuasisiwa kwa Siku ya Takwimu Afrika, Serikali imesema ipo haja ya kufanyika kwa tathmini ya ufuatiliaji wa takwimu zinazotolewa…
Continue Reading....Waziri Mkuu Pinda Ataka Wajasiriamali Wenye Viwanda Vidogo Waendelezwe
WAZIRI MKUU Mizengo Pinda amesema Wizara ya Viwanda na Biashara haina budi kuwaendeleza wajasiriamali wenye viwanda vidogo na vya kati kwa kuwa vina mchango…
Continue Reading....Mkurugenzi wa Idara ya Habari Tanzania Afunguwa Mkutano wa COMNETA
Mgeni rasmi Mkurugenzi wa Idara ya Habari (MAELEZO) Assah Mwambene (kushoto) akiwasili katika Hoteli ya New Palm Tree iliyopo Bagamoyo mkoani Pwani kufungua mkutano wa…
Continue Reading....