Skip to content
Habari  | Michezo | Mahusiano | Blog Tanzania
  • Habari
    • Habari za Kimataifa
    • Habari za Uchunguzi
    • Habari za biashara
    • Habari za Vijijini
  • Matukio Katika Picha
  • Burudani
  • Uchambuzi
  • Michezo
    • Matokeo Ya Ligi Kuu Ya Uingereza (English Premier League)
  • Home
  • 2013
  • Page 401

Year: 2013

Mechi ya Yanga na Toto Yaingiza 42,508,000/-

Posted on: March 10, 2013 - jomushi
Mechi ya Yanga na Toto Yaingiza 42,508,000/-

WATAZAMAJI 7,412 wameshuhudia pambano la Ligi Kuu ya Vodacom (VPL) kati ya Yanga na Toto Africans lililochezwa jana (Machi 9 mwaka huu) Uwanja wa Taifa,…

Continue Reading....

Wafanyakazi African Barrick Gold Wawasaidia Wagonjwa wa Saratani Dar es Salaam

Posted on: March 10, 2013 - jomushi
Wafanyakazi African Barrick Gold Wawasaidia Wagonjwa wa Saratani Dar es Salaam

Continue Reading....

Katibu Mkuu CCM Aenda China kwa Mwaliko wa CPC

Posted on: March 10, 2013 - jomushi
Katibu Mkuu CCM Aenda China kwa Mwaliko wa CPC

Na Bashir Nkoromo KATIBU Mkuu wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) Abdulrahman Kinana anaondoka nchini leo Machi 10, 2013, kwenda Jamhuri wa Watu wa China kwa…

Continue Reading....

Wajasiriamali Wanawake Mwanza Wapewa Mbinu

Posted on: March 10, 2013 - jomushi
Wajasiriamali Wanawake Mwanza Wapewa Mbinu

Na Anna Nkinda – Magu KINA mama Wajasiriamali nchini wametakiwa kuongeza ubunifu katika vikundi vyao ikiwa ni pamoja na kutengeneza bidhaa bora zaidi ambazo zitakidhi…

Continue Reading....

Wananchi Chwaka Wakabidhiwa Mradi wa Maji

Posted on: March 10, 2013 - jomushi
Wananchi Chwaka Wakabidhiwa Mradi wa Maji

Na Rajab Mkasaba, Ikulu Zanzibar WANANCHI wa Chwaka wameeleza kufarajika kwao baada ya kukamilika mradi wa maji safi na salama katika kijiji chao na kuondosha…

Continue Reading....

Mama Pinda Awataka Wajasiriamali Kuwa Waaminifu

Posted on: March 10, 2013 - jomushi
Mama Pinda Awataka Wajasiriamali Kuwa Waaminifu

MKE wa Waziri Mkuu, Mama Tunu Pinda amewataka akinamama wanaojihusisha na shughuli za ujasiriamali kuwa waaminifu kwa wenza wao na wanafamilia wao ili waweze kupata…

Continue Reading....

Posts navigation

Older posts
Newer posts
thehabari